marufuku kuachana kwenye ujauzito

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
akofu wam jimbo la muleba kaskazini amewaasa wanandoa kuacha kucheza na mungu huku akiongea kwa masikitiko amesema ndoa nyingi hivi sasa zinakuwa kama mchezo wa kuigiza..bnaya zaidi jamani ubinadamu umewatoka vijana wetu wanaacha mke wakati wa ujauzito;hili nasema marufuku kumwacha mkeo wakati wa ujauzito ...najua wengi watakaouliza hili ila naombna tukiheshimu kiumbe kilicho ndani kuliko yoyote...huku watu wakishangilia mmoja wanaibada alisema duh jamaa kweli kaamua..

kwa upande wetu kweli akuna haja ya kutoambiana ukweli acheni kufanya ndoa kama comedy kama auko tayari acha kuoa ama kuolewa
 
1.askofu yupo sahihi kabisa.
2.kuachana kupo iwe kwa mujibu wa biblia au sheria ya ndoa ya mwaka 1971.
3.pamoja na labda makosa makubwa aliyotenda mkeo,mwanamume inabidi tuwe na roho ya kiutu na kibinadamu.
4.pamoja na kuwa unakila uhakika kuwa mimba si yako,lakini bado utu unahitajika.kiumbe wa tumboni hana kosa lolote,
kwa nini unamwadhibu?ni ushetani huo.
5.ni vema na ni busara ukakaa kimya na kuvumilia, mkeo/mpenzi wako akishajifungua mtoto, sasa waweza kuanzisha mipango ya talaka,hapo hata mungu atakuwa upande wako(hasa ikiwa mnaachana kwa ajili ya zinaa ya mkeo)
6.pamoja na hayo jamii nzima itakuona wewe mwanamme mwenzangu hufai ukimwacha mkeo ili hali mjamzito,watasema kazi yako ni kujaza mimba na kukimbia.na ikitokea mkeo
akakuchomekea kuwa kanikimbia kwa vile nina mimba....umekwisha kila mtu atamuunga mkono na kukulaani wewe kumbe kosa ni lake mkeo, huenda kazini na kupewa mimba labda na house boy wako.subira na busara ni muhimu tuache hasira,siku zote hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu....biblia inasema hivyo.
 
Huenda watu wengi wanapooana inakuwa wanajaribu kuona kama inawezekana au vipi? na hasa mimba inapoingia si unajua mikikimikiki ya kulea mimba nadhani ndio maana wengi wanakula kona!
 
Kweli kabisa, dunia imeharibika.
Ndoa zimekuwa kama sinema, unaangalia movie na baadae huitaki tena
 

a very good advice.... labda tungejua ni askofu wa dehebu gani; kama ni mkatoliki sitamuamini [mimi ni RC] kwani hajaingia kwenye ngoma huyo akacheza

ndoa ni very complex
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…