#COVID19 Marufuku ya misongamano isiyo ya lazima. Je, kirusi kinaogopa misongamano ya lazima?

#COVID19 Marufuku ya misongamano isiyo ya lazima. Je, kirusi kinaogopa misongamano ya lazima?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Kufuatia tangazo la serikali kwamba sasa hivi ni marufuku kuwa na mikusanyiko isiyo ya lazima ili kuepuka kuenea kwa kirusi cha corona,nimepata swali kwa wataalamu hawa waliobobea;

Je, kirusi hiki huenea tu kwenye mikusanyiko isiyo ya lazima?

Au kwa namna nyingine,je kirusi kinaogopa mikusanyiko ya lazima?

Mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?Je show za Nandy ni mikusanyiko ya lazima?
Mbio za mwenge je ni lazima?Mechi za soka mfano ndondo na mechi ya watani wa jadi?

Mimi na wenzangu wenye elimu ndogo,nisaidieni nijue hii mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?
 
Kufuatia tangazo la Serikali kwamba sasa hivi ni marufuku kuwa na mikusanyiko isiyo ya lazima ili kuepuka kuenea kwa kirusi cha corona, nimepata swali kwa wataalamu hawa waliobobea;
Je kirusi hiki huenea tu kwenye mikusanyiko isiyo ya lazima?

Au kwa namna nyingine,je kirusi kinaogopa mikusanyiko ya lazima?

Mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?Je, show za Nandy ni mikusanyiko ya lazima?

Mbio za mwenge je ni lazima? Mechi za soka mfano ndondo na mechi ya watani wa jadi?

Mimi na wenzangu wenye elimu ndogo, nisaidieni nijue hii mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?
 
Hata ya mikusanyiko ya online si ya lazima .... 😷
 
Hii ni serikali ya hovyo kabisa
Serikai zote za afrika ya mashariki.
.kenya wanakwambia eti lockdown ni usiku tu what a joke uganda huko ndo wameamua kuwachanja watu maji ya kilimanjaro 😂
 
Mkuu mikusanyiko isiyo ya lazima ni hatari. Ila mikutano ya lazima kama sokoni haina shida. Cha msingi fata sheria. [emoji23]
Usipofata sheria utapigwa. Haijalishi sheria ni kandamizi au sio.

Na ukipigwa ukaandamana unafungwa. Na wanaokussuport nao hawana nguvu ya kukutoa ukifungwa. Kwa sababu wanaosikilizwa na jeshi ndo hao hao waliokuweka ndani. Wanaoku support pia hawawezi kufanya maandamano kwa sababu wakifanya watapigwa na polisi na wanajeshi.

Wakipata watetezi kutoka taifa jingine na serikali nayo inatafuta watetezi kutoka taifa jingine. Tena inaweza kuwapa hata uwekezaji ili kuwapooza.

Kwa hiyo man hii issue haiwezekani kushinda. Hapa unapambana na power mazee. Haya matatizo yatakuja kutatuliwa na mda. Ila wananchi hawataweza. Inahitaji wananchi wenye akili kubwa sana kupambana na serikali inayotumia trick za kisomi. Na watanzania wengi hawaelewi kinachoendelea. Wanabwabwaja tu. Ni 5% ya raia wenye uelewa wa mambo.

So. Fuata sheria. Hamna namna mkuu
 
Usipofuata sheria wewe ni gaidi, unakula njama za kuua wananchi wa jamuhuri...au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kufuatia tangazo la serikali kwamba sasa hivi ni marufuku kuwa na mikusanyiko isiyo ya lazima ili kuepuka kuenea kwa kirusi cha corona,nimepata swali kwa wataalamu hawa waliobobea;
Je kirusi hiki huenea tu kwenye mikusanyiko isiyo ya lazima?

Au kwa namna nyingine,je kirusi kinaogopa mikusanyiko ya lazima?

Mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?Je show za Nandy ni mikusanyiko ya lazima?
Mbio za mwenge je ni lazima?Mechi za soka mfano ndondo na mechi ya watani wa jadi?

Mimi na wenzangu wenye elimu ndogo,nisaidieni nijue hii mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?
Nafikiri tungemuuliza yule mwenyekiti wa chama fulani aliedai kuwa kaka yake amekufa kwa corona na kwamba katika msiba haitaji familia kukutana msibani kwa sababu ya tahadhari ya kujilinda na corona. lkn cha kushangaza anataka watu wengine huko mwanza wakutane kwa wingi katika ajenda za chama chake bila kujali tahadhari aliyoitoa au kuichukua kwa familia yake wakati wa msiba.

Kwa maana nyingine aliona ni sahihi familia yake kujihadhari na corona kwa kujiepusha na msongamano wa watu kilioni lkn kwa wengine ambao sio ndugu zake hata wakijazana na kuambukizana corona ni sawa tu!
 
Tatizo mpo obsessed na mambo ya siasa za kihuni za akiba Mbowe,ila mimi ninaiona hatari dhahiri ya kirusi hiki.

Habari za vifo zimekuwa,nyingi sana.Hivi ninavyoongea tu kuna mtu tayari ameondoka ninayemfahamu kwa tatizo hili hili.Hii ni baada ya jana kutokea kifo tena na kesho wanazika.Kama vile haitoshi ukiachilia mbali kifo cha usiku huu,leo mchana mtu mwingine ameaga dunia kwa changamoto ya upumuaji.

Napenda kutoa wito kwa serikali yangu,kutoa tahadhari kwa watu wanaoshiriki hata maziko,mikesha ya mwenge na mikusanyiko yote kwa ujumla.
Hali ni tete.Mungu pekee anajua
Mkuu mikusanyiko isiyo ya lazima ni hatari. Ila mikutano ya lazima kama sokoni haina shida. Cha msingi fata sheria. [emoji23]
Usipofata sheria utapigwa. Haijalishi sheria ni kandamizi au sio.

Na ukipigwa ukaandamana unafungwa. Na wanaokussuport nao hawana nguvu ya kukutoa ukifungwa. Kwa sababu wanaosikilizwa na jeshi ndo hao hao waliokuweka ndani. Wanaoku support pia hawawezi kufanya maandamano kwa sababu wakifanya watapigwa na polisi na wanajeshi.

Wakipata watetezi kutoka taifa jingine na serikali nayo inatafuta watetezi kutoka taifa jingine. Tena inaweza kuwapa hata uwekezaji ili kuwapooza.

Kwa hiyo man hii issue haiwezekani kushinda. Hapa unapambana na power mazee. Haya matatizo yatakuja kutatuliwa na mda. Ila wananchi hawataweza. Inahitaji wananchi wenye akili kubwa sana kupambana na serikali inayotumia trick za kisomi. Na watanzania wengi hawaelewi kinachoendelea. Wanabwabwaja tu. Ni 5% ya raia wenye uelewa wa mambo.

So. Fuata sheria. Hamna namna mkuu
 
Kufuatia tangazo la serikali kwamba sasa hivi ni marufuku kuwa na mikusanyiko isiyo ya lazima ili kuepuka kuenea kwa kirusi cha corona,nimepata swali kwa wataalamu hawa waliobobea;

Je, kirusi hiki huenea tu kwenye mikusanyiko isiyo ya lazima?

Au kwa namna nyingine,je kirusi kinaogopa mikusanyiko ya lazima?

Mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?Je show za Nandy ni mikusanyiko ya lazima?
Mbio za mwenge je ni lazima?Mechi za soka mfano ndondo na mechi ya watani wa jadi?

Mimi na wenzangu wenye elimu ndogo,nisaidieni nijue hii mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?
Inaonekana kirusi kinaogopa mikusanyiko ya kudai katiba mpya na sio ile mikusanyiko ya sokoni na kwenye daladala.
 
Tatizo mpo obsessed na mambo ya siasa za kihuni za akiba Mbowe,ila mimi ninaiona hatari dhahiri ya kirusi hiki.

Habari za vifo zimekuwa,nyingi sana.Hivi ninavyoongea tu kuna mtu tayari ameondoka ninayemfahamu kwa tatizo hili hili.Hii ni baada ya jana kutokea kifo tena na kesho wanazika.Kama vile haitoshi ukiachilia mbali kifo cha usiku huu,leo mchana mtu mwingine ameaga dunia kwa changamoto ya upumuaji.

Napenda kutoa wito kwa serikali yangu,kutoa tahadhari kwa watu wanaoshiriki hata maziko,mikesha ya mwenge na mikusanyiko yote kwa ujumla.
Hali ni tete.Mungu pekee anajua
Kwa kifupi dhamira ya kutekeleza afua muhimu za kudhibiti uviko haipo. Vinginevyo hata hili la kudhibiti mikusanyiko lingekuwa limeanza siku nyingi. Hata ufafanuzi wa mikusanyiko ya lazima na isiyokuwa ya lazima hautolewi. Mikusanyiko iliyolengwa ni ya kisiasa; husasan vyama vya upinzani.
 
Mbona viongozi wanafanya mikutano humo mabarabarani wanamopita. Si ajabu kesho ukaona picha za kiongozi wa juu kabisa mmoja au zaidi akiwa kwenye gari anahutubia wananchi waliosimamisha msafara wake mahali.
 
Kufuatia tangazo la serikali kwamba sasa hivi ni marufuku kuwa na mikusanyiko isiyo ya lazima ili kuepuka kuenea kwa kirusi cha corona,nimepata swali kwa wataalamu hawa waliobobea;

Je, kirusi hiki huenea tu kwenye mikusanyiko isiyo ya lazima?

Au kwa namna nyingine,je kirusi kinaogopa mikusanyiko ya lazima?

Mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?Je show za Nandy ni mikusanyiko ya lazima?
Mbio za mwenge je ni lazima?Mechi za soka mfano ndondo na mechi ya watani wa jadi?

Mimi na wenzangu wenye elimu ndogo,nisaidieni nijue hii mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?

Kufuatia tangazo la serikali kwamba sasa hivi ni marufuku kuwa na mikusanyiko isiyo ya lazima ili kuepuka kuenea kwa kirusi cha corona,nimepata swali kwa wataalamu hawa waliobobea;

Je, kirusi hiki huenea tu kwenye mikusanyiko isiyo ya lazima?

Au kwa namna nyingine,je kirusi kinaogopa mikusanyiko ya lazima?

Mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?Je show za Nandy ni mikusanyiko ya lazima?
Mbio za mwenge je ni lazima?Mechi za soka mfano ndondo na mechi ya watani wa jadi?

Mimi na wenzangu wenye elimu ndogo,nisaidieni nijue hii mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi?
Hivi wewe ni mtu mzima au mtoto? Naona tuanzie hapo!! Unauliza kwa kejeli na ukijibiwa kwa kejeli unalalamika!! Hujui mikusanyiko ya lazima? Umeoa? Mikusanyiko ya watu wawili kitandani pako je ni ya lazima? Haulijui hilo? Ulishawahi kupanda bus? Je kuna umbali gani kati ya siti moja na nyingine? Je hapo kuna msongamano wa hiari au?? Hili nalo unataka waziri afafanue!! atafafanua mangapi? kama wewe ni mtoto kamwulize baba yako atakufafanulia vizuri tangazo la serikali! Lakini kama wewe ni mtu mzima pole!!
 
Back
Top Bottom