Mie mwenyewe hiyo mifuko nimeshangaa mwezi ulopita kuambiwa haitakiwi nayo tena!... mhKwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la mwananchi leo nimeona tangazo la OMR Muungano na Mazingira kuhusu Mwisho wa matumizi ya vifungashio vya Plastiki kama vibebeo. Akili yangu ikajiuliza fasta fasta hivi ile mikate maarufu ya Slesi ambayo tulikuwa tunabeba kupelekea ndugu zetu vijijini kama ishara kuwa umetoka Dasalamu itafungashwa kwenye vibebeo gani?
Hivi condom zinatengezwa na nini? Au wataleta za chuma?Mie mwenyewe hiyo mifuko nimeshangaa mwezi ulopita kuambiwa haitakiwi nayo tena!... mh
Mimi nilishangaa kuendelea kuwepoMie mwenyewe hiyo mifuko nimeshangaa mwezi ulopita kuambiwa haitakiwi nayo tena!... mh
Kama condomIpo mifuko ya plastiki inayooza,iyo ndo inayotakiwa kufungashia iyo mikate yako unayosema.
Topic closed...Mkuu naona umesoma kwa kukurupuka hio taarifa, au umesikiliza redioni wakikusomea.
Taarifa inasema mifuko ya plastiki kwa ajili ya kufungashia chakula haijapigwa marufuku bali inapaswa ikidhi viwango vya tbs!
Siku nyingine uwe unasoma taarifa kamili sio kukurupuka kufungua nyuzi kwa kila kitu bila na kuwa na taarifa kamili.
Watoe mbadala wake kabla ya kufungaKwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la mwananchi leo nimeona tangazo la OMR Muungano na mazingira kuhusu mwisho wa matumizi ya vifungashio vya Plastiki kama vibebeo.
Akili yangu ikajiuliza fasta fasta hivi ile mikate maarufu ya slesi ambayo tulikuwa tunabeba kupelekea ndugu zetu vijijini kama ishara kuwa umetoka Dasalamu itafungashwa kwenye vibebeo gani?
Kukurupuka maana yake nini.Mkuu naona umesoma kwa kukurupuka hio taarifa, au umesikiliza redioni wakikusomea.
Taarifa inasema mifuko ya plastiki kwa ajili ya kufungashia chakula haijapigwa marufuku bali inapaswa ikidhi viwango vya tbs!
Siku nyingine uwe unasoma taarifa kamili sio kukurupuka kufungua nyuzi kwa kila kitu bila na kuwa na taarifa kamili.