Si ajabu. Makolo yamesha nusurika kushuka daraja Mara kibao miaka ile ya 80's, thanks kwa FAT now TFF kwa mbeleko wa chuma.Hatimaye timu ya Marumo Gallants aka Bahlabani ba Ntwa wameshuka daraja baada ya hapo jana kufungwa bao 2 kwa sifuri na timu ya Swallows katika ligi ya Premium ya Afrika ya Kusini
Itakumbukwa Malumo Gallants walitolewa na Yanga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho la CAF barani Afrika.
Kweli watu walipΓ ta utelezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatimaye timu ya Marumo Gallants aka Bahlabani ba Ntwa wameshuka daraja baada ya hapo jana kufungwa bao 2 kwa sifuri na timu ya Swallows katika ligi ya Premium ya Afrika ya Kusini
Itakumbukwa Malumo Gallants walitolewa na Yanga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho la CAF barani Afrika.
Mbona inawaumΓ sana marumo kushuka daraja nyie utopolo???Si ajabu. Makolo yamesha nusurika kushuka daraja Mara kibao miaka ile ya 80's, thanks kwa FAT now TFF kwa mbeleko wa chuma.
Kuna watu walipiga bomu mochwari halafu wakashangilia sanaSi ajabu. Makolo yamesha nusurika kushuka daraja Mara kibao miaka ile ya 80's, thanks kwa FAT now TFF kwa mbeleko wa chuma.
focus yao ilikuwa huko na sio kwenye ligi maana walijua kabisa kule ngoma ngumuDaaah ila kuna timu jamani,,sijui walifikaje nusu
Wale hawana team ya maana, kilicho wabeba ni bahati ya kukuta shirikisho kuna team vibonde.Kuna watu walipiga bomu mochwari halafu wakashangilia sana
Vipi kuhusu Singida leo?Ukienda ugenini kushindana mashindano ambayo ww unaamini ni muhimu sana, Dalili ya kwanza kuwa mnacheza mashindano yasiyo muhimu au mashindano ni muhimu ila unacheza na timu dhaifu ni sapoti ya mashabiki uwanjani. Unless kuna katazo la kuingiza mashabiki.
Mbona Wydad haijashuka daraja? Sema tu ni timu mbovuWalijitakia wenyewe kushuka daraja. Maana waliwekeza nguvu kubwa kwenye mashindano ya Kimataifa, kuliko yale ya ndani.
Naamini fungu watakalopewa na CAF baada ya kufikia hatua ya nusu fainali, watalitumia kwenye kuimarisha timu yao, na hivyo kurejea kwa urahisi kwenye ligi kuu ya nchi yao, msimu ujao.
Mechi kubwa ile.Vipi kuhusu Singida leo?