USM Alger ana nafasi kubwa ya kubeba hili kombe.Ule mpira aliocheza na AS FAR ya Morocco si mchezo!!!!!!
Timu zinazojua kupress vizuri mara nyingi huisumbua Yanga. Mfano Hata Rivers, kwenye marudiano walitumia pressing na iliwasumbua Yanga.
Al Hilal, Simba,US Monastir hawa wote waliwafanyia Yanga pressing na kupata goli la mapema. Wapinzani wameanza kuwajua Yanga kuwa huanza mchezo kwa taratibu mno.
Yanga, ukiwafunga goli la mapema una nafasi kubwa ya kushinda mchezo kwani kuwadhibiti ni rahisi sana na ni kuwachezea compact football!!!!!!!!
Nb :Mpira upewe heshima yake!!!!!!!!!!
Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!