Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha zile units 1000 za umeme kwa mwezi, over time, safari za mafunzo nje ya nchi.
Hawa jamaa Wana lipi la kujivunia?
Wacha wale tuPale wanaiba sana
Kuna mzee wa kinyamwez nlikua naona wanaishi maisha ya anasa sana. Mashirika ya umma wanajiandikia tu ma allowance na ma scale ya kulipana plus na udokozi wa watanzania basi ndo hvo wenzetu wanakamua asali kisawasawa.
Muasisi wa wizi nchi hii ni sisiemu
Nimelishuhudia hili. R. I. PUkisoma hapa..unaweza kufikiria wafanyakazi wote wa Tanesco wako vizuri...
Kumbe siri wanayo wenyewe
Huwez kuwalinganisha TANESCO na Wafanyakazi waliopo Halmashauri ya Kakonko hukoo, Njaa umetamalaki huko Halmashauri hata maokoto labda hizo 400 za minadani tuUkisoma hapa..unaweza kufikiria wafanyakazi wote wa Tanesco wako vizuri...
Kumbe siri wanayo wenyewe
Humu kuna 'hear say' nyingi sana..Nimelishuhudia hili. R. I. P
uchawi na husda kazini ndio linafwata.Ukiacha zile units 1000 za umeme kwa mwezi, over time, safari za mafunzo nje ya nchi.
Hawa jamaa Wana lipi la kujivunia?
wameniulia mama mdogo wangu sina hamu kabisa r.i.p ntakukumbuka sana.Kwa ufup ukipata kazi TANESCO umeyapatia maisha. Unafyonza asali
Alikua procurement au internal auditor?wameniulia mama mdogo wangu sina hamu kabisa r.i.p ntakukumbuka sana.
kwa kweli siwez mtaja watamjua ila alikuwa meneja kanda flanAlikua procurement au internal auditor?
Pole ndugukwa kweli siwez mtaja watamjua ila alikuwa meneja kanda flan
Hakuna sector ambayo watu wote walioko huko watakuwa vizuri au vibaya hata hiyo sector iwe nzuri au mbaya vipi, hata hizo biashara zinazosifiwa kwa kutajirisha watu bado kuna wanaozifanya na hawatajiriki, hata huko halmashauri kunakodharaulika wapo watumishi wanaishi vizuriUkisoma hapa..unaweza kufikiria wafanyakazi wote wa Tanesco wako vizuri...
Kumbe siri wanayo wenyewe
asante boss tushapoaPole ndugu