Every body knows Charlie Cox ndie Dare Devil.Daredevil au Castle, Frank.??
Mnyama mwamba yule asiyeogopa, nachompendea punisher huwa lazima agongwe nayeye kwanza then ndio ashinde...Atarudi kwenye dare devil born again.
Atacheza ile ile character yake ya Frank Castle aka the punisher
Mazoezi. Wenzetu hawafanyi vitu bora liende kama hukuIla wanawake wa kwenye wakanda forever wamekakamaa hatari ndio urembo kuwa vile et
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapopause movie sehemu mbaya[emoji23][emoji23]View attachment 2556407
Natasha: "We're still friends, right?"
Clint: "Depends on how hard you hit me"
View attachment 2556409
[emoji23][emoji23]
Naona mnakaribia kuwa majini 🤔🤔
Hakuna , labda Civil WarHivi kuna movie ya MCU yenye actions nyingi kama CAPTAIN AMERICA: the winter solder?View attachment 2527595View attachment 2527596View attachment 2527597View attachment 2527598
jamaa alisimama katikati ya barabara kama nchi ya kwake [emoji23][emoji23] akapiga ambush hilo kama hakijatokea kitu..Kuna mkono wa hatari sana humu, kuna kile kipande cha Nick Fury anapigwa ambush pale barabaran [emoji119]
jamaa alisimama katikati ya barabara kama nchi ya kwake [emoji23][emoji23] akapiga ambush hilo kama hakijatokea kitu..
Halafu mkono aliotengenezewa Russia mzuri kuliko wa Wakanda
Naona wame mdowngrade nguvu zake kwenye captain America alikiwa anatisha