Marvel Cinematic Universe special thread

aah hata mm ntaenda hapo hapo aisee, tutakuwa wote japo hatujuani

Napenda aura seat zake ni nzuri na pia screen iko curved ni pazuri kuliko Mcity, maon yangu lakin
I will,

Aura Mall
Mwanamke anayeangalia hizi muvi hasa DS na kuzielewa. Usimchukulie poa lazima kichwani uwe zimeenea 1004%
Jamani Ningependa tukajikusanya wote tukaenda kutazama pamoja as marvel fans. Itapendeza tufurahi pamoja as get together na kupeana connection/michongo.

Kama mpo interested
 

Couldn’t agree more, na iwe hivyo tuwe wote pale

crush wangu sabab kubwa ya kumpenda alikuwa MCU fan( she was great) hiko ndio kigezo cha kwanza, vingine vikafuataga bahat mbaya kasafir mbali

PS hilo wazo la get together ni one of the best, halafu huyu [mention]Stephen Strange [/mention] “i feel like I know you” in Valkyrie vibe
 
I wish nipate girl fan wa MCU itakua poa sana, Sijui nampataje au nijisogeze hapo kwa Dream Queen 🙃🙃
Yaani tukiwa pamoja sinema exploring and experiencing together the vast multiverse will be great.
"I feel like I know you too, It's weird"
 
aah hata mm ntaenda hapo hapo aisee, tutakuwa wote japo hatujuani

Napenda aura seat zake ni nzuri na pia screen iko curved ni pazuri kuliko Mcity, maon yangu lakin
Aura Mall ndio chaka langu pendwa kwanza ni karibu na kwangu (naishi Kigamboni)
Pametulia hakuna population sana, screen yake iko curved kweli, wahudumu wapo friendly also na bei zake zimepoa,

Mcity, population sana, movie ya wakubwa watu wanaingia hadi na watoto wadogo hakuna angalizo,
Kwa kua watu ni wengi basi unakuta wengine wanaongea ongea wanahamisha concentration, uchokozi hii ilinikuta nilienda kuangalia unchanted natoa simu nijibu text mtu nyuma yangu kanivuta "excuse me, mwanga wa simu unaniumiza" i was like "WTH!"

Wakati Aura unaweza hata kurecord baadhi ya vipande ili uweke status uwahamasishe wasioenda
waende [emoji23]

Mcity bei zao zimechangamka.
 
Hapo sasa ndio unafeli, Dream Queen sio girl wa kujisogeza kwake, ni Mke pia ni Mama wa Watoto watatu.
 
Tumpongeze Benedict Cumberbatch kwa Kazi kubwa aliyoifanya asee, kaigiza nafasi karibu tano (Kama sijakosea) prke yake.
Kaigiza kama Sinister Strange, Defender Strange, Zombie Strange, Strange Supreme na version yake yeye mwenyewe orijino. Kazi ipo things really just got out of hands
 
Hapo sasa ndio unafeli, Dream Queen sio girl wa kujisogeza kwake, ni Mke pia ni Mama wa Watoto watatu.
Daah basi kweli nimeshafeli hapo.
But we can bunk together as MCU fans. You'll be Christine Palmer and me Stephen.
 

Hahah eti Mwanga wa simu, sasa kuna siku nlkuwa naangalia ilikuwa MK ile kukawa na jamaa kaja kama date na mpenz wake, ile movie alikuwa anairuidia unajua alikuwa anatoa spoilers kwa yule mpenz wake kwa sauti had mm naskia akawa anaua vibe ya kila kitu, crowd ya mcity ni changamoto

Ni kweli Aura hamna population angalau siku za blockbusters ndio utakuta watu sema ratio ya blacks & brown people inakuwa 1:1

Nakumbuka kuna siku napanda elevator nawahi nmechelewa naona black peke angu kati ya watu kama watano, naenda kwenye folen kuscan ticket still black mimi nkasema leo kinaeleweka [emoji23]
 
Nimecheka hapo kwenye "leo kitaeleweka"
Hao Wahindi waliofilisika ndio wakuumize vichwa hawana neno wenyewe itawakuta familia nzima imeenda movie kazi kula Misambuza na Kachori ila ukitaka ustaarabu basi utaukuta Aura Mall,

Ushaingia VIP yao?? Shida ya Aura AC kali jamani hadi unaisi kuganda sijui ndio wanawakomesha wapenda kusinzia [emoji23]
 
Ushaingia VIP yao?? Shida ya Aura AC kali jamani hadi unaisi kuganda sijui ndio wanawakomesha wapenda kusinzia [emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti mbele ya watu.. ile Ac hapana nljua mm tu, unaweza toka na vichomi..

Yes, VIP nshawahi ingia ni ndogo flan hiv sema ni nzuri kwa wapenda kula maana unaweka snacks pale kiurahisi
 
Thor love and thunder washaachia teaser trailer




Dah ni habari nzuri but hii nadhani ndio filamu ya mwisho Chris kuigiza Thor all in all katika character development in marvel Thor ameitendea haki
 
Nimeona Olympus na Zeus wake Ngoja tusubiri officials nimuone The God butcher Gorr

Ninavyoona kwenye marvel hawa characters ambao Humans Wana wa consider ni God mfano Odin ,Thor ,Zeus nk nadhani ni race ya ancient aliens something like celestial hata khonshu ancient Egypt Wana mconsider ni God but sidhani .. concept ya Uwepo wa God kwenye marvel cinematic universe hamna kwanza kwenye Eternals washasema celestial ndio wametengeza life but what confusing more bado kuna viumbe much older than celestial ... welcome to the frickin fucking MCU [emoji41]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] bora thor ameludi kwenye shape yake nilidhani watatuletea thor kibonge
 
Hivi kuna mtu akiangalia hizi Trailers za MoM anahis kama anataka ku punch something [emoji2]

Maana acha! siku hiyo ntashangilia aisee, Mungu atupe afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…