brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 590
- 767
Game adaptation ni hit or big miss, uncharted 2 inakuja mzee ilitengeneza $400M Kwa budget ya $120M afu covid timeMovie ile walikosea sana, hata uncharted nayo imegoma, Games kuzitengenezea movie zinawashinda Hollywood
Zack bado yupo ila bado hajui hatia yake. Pia ukiangalia cast wake wote wanarudi akiwemo Ben Affleck labda na henry ingawa kuna kigugumizi kwa huyu jamaa. Ray fisher....?Zack katimuliwa , pia the flash wanasema itakua reset ya DCEU wnaanza upya kubuild ndo maana pamoja na kuwa Ezra ana kesi nyingi bado itakuwa realesed io muvi
Nimesema trailer 2 chief.Una maana ya black adam part 2 au ni trailer la pili
Sema ni Kama avangers lite, na cgi baadhi ya sehemu π€π€Nimeiona Black Adam trailer 2. Naona DC wanaanza kuwa serious kidogo na kazi.View attachment 2350774View attachment 2350775View attachment 2350776
SabbacView attachment 2350777
Unajua kuna ile episode anabreak fourth wall anasema βI know you canβt wait to see Wong...β π nilikuwa ofisi ya watu ambayo iko kimyaa...ndg yangu si nikacheka kwa nguvuNami pia nimeipenda naona wazee baba wamefuta comment yangu ile ya she hulk hapa. Napenda how Jen anavyovunja ukuta wa nne, amenifanya nitamani kuirudia series ya House of Cards
Na hii comment ni kutoka kwa Hemsworth mwenyewe naomba tuelewane hapo kwanzaJana nimecheck Thor love and thunder sina cha kusema zaidi ya I'm disappointed.
Wametumia nguvu nyingi kuifanya kama Ragnarok lakini wamefeli vibaya.
Ni aibu. Nakumbuka imetoka tu umbea wangu 3D cinema. Nikawa tu nacheka wanavyocheka wengine.Jana nimecheck Thor love and thunder sina cha kusema zaidi ya I'm disappointed.
Wametumia nguvu nyingi kuifanya kama Ragnarok lakini wamefeli vibaya.
Ragnarok was fun, nilimpenda HellaNi aibu. Nakumbuka imetoka tu umbea wangu 3D cinema. Nikawa tu nacheka wanavyocheka wengine.
Thor kali ilikuaga ya Kwanza tu. Zingine too much comedy.
All blames on Taika waititi, too much humor is harmful.Na hii comment ni kutoka kwa Hemsworth mwenyewe naomba tuelewane hapo kwanza
Badass.. Thor hawezi bila Roki.. ππππRagnarok was fun, nilimpenda Hella
Thor wamemfanya katuni aisee, at least ragnarok ilikuwa balanced this time it's too much .Ni aibu. Nakumbuka imetoka tu umbea wangu 3D cinema. Nikawa tu nacheka wanavyocheka wengine.
Thor kali ilikuaga ya Kwanza tu. Zingine too much comedy.
Yes naona wangeendelea kuwaweka pamoja na ile dynamic duo yaoBadass.. Thor hawezi bila Roki.. ππππ
Thor ni ninja akiwa Avengers tu. Unakumbuka alivoingia Wakanda na Stom Breaker??Thor wamemfanya katuni aisee, at least ragnarok ilikuwa balanced this time it's too much .
taika alibahatisha ile akajua ngoja nipite mle mle kama mwanzo, ikala kwakeπAll blames on Taika waititi, too much humor is harmful.