๐๐๐ aiseeThat was Thor.
Sahivi Thoremba.
Taika ni comedian mwanzo mwisho..taika alibahatisha ile akajua ngoja nipite mle mle kama mwanzo, ikala kwake๐
Ndio umkute meza moja yeye na Ryan reynolds sasa hapo, matahira tupuTaika ni comedian mwanzo mwisho..
Hell yeah kuna hiyo scene ya wakanda na mwanzo wa avengers endgame mpaka pale alipoenda kuchop kichwa cha thanos, yule ndio alikuwa thor.Thor ni ninja akiwa Avengers tu. Unakumbuka alivoingia Wakanda na Stom Breaker??
BRING ME THANOOOOOOOSSS...
That was Thor.
Sahivi Thoremba.
I bet taika hana kazi tena hapo, ila siku hizi Marvel ni full comedy kama hii she-hulkHell yeah kuna hiyo scene ya wakanda na mwanzo wa avengers endgame mpaka pale alipoenda kuchop kichwa cha thanos, yule ndio alikuwa thor.
Kwa reaction waliyopata kutoka kwa mashabiki nadhani Thor ijayo hawatorudia hili kosa la kumgeuza comedian badala ya serious and badass god of thunder.
Exactly it was supposed to be one time fun, huku kwengine angefanya ubunifu mwingine, hauwezi kufanya hichohicho na kuzidisha alafu utegemee mafanikio kama ya mwanzo.taika alibahatisha ile akajua ngoja nipite mle mle kama mwanzo, ikala kwake๐
Sasa nani atakua serious Marvel. Maana Spiderman ndio ivo, Strange comedian, Thor comedian, Iron Man no more, Captain no more, yaani nani atakua serious?I bet taika hana kazi tena hapo, ila siku hizi Marvel ni full comedy kama hii she-hulk
Sio kubet mkuu ni wazi taika harudi tena, hii she-hulk ilianza vizuri ila mpaka hii episode 4 nimepoteza interest kabisa sioni cha maana kinachoendela.I bet taika hana kazi tena hapo, ila siku hizi Marvel ni full comedy kama hii she-hulk
Hiyo the new avengers ndio inanipa wasiwasi, shang-chi anaimba karaoke, Labda wa serious ni Blade... unajua nimemiss kuona mtu serious super assassin on big screen kama enzi za winter soldier on captain AmericaSasa nani atakua serious Marvel. Maana Spiderman ndio ivo, Strange comedian, Thor comedian, Iron Man no more, Captain no more, yaani nani atakua serious?
Kwani Marvel wameshawahi kutoa TV series kali? Labda Hawkeye na Falcon/W. SoldierSio kubet mkuu ni wazi taika harudi tena, hii she-hulk ilianza vizuri ila mpaka hii episode 4 nimepoteza interest kabisa sioni cha maana kinachoendela.
Naona hizi episode za mwanzo ni useless kwenye story kama wandavision hivyo naangalia bora liende tu.
Sijui ila labda itakuwa interesting episode zijazo.
Angalau kue na Badass mmoja (Like late King of Wakanda). Kue na mtu smart mmoja (Like Iron Man). Kue na mtu serious mmoja (Like Capt.)Hiyo the new avengers ndio inanipa wasiwasi, shang-chi anaimba karaoke, Labda wa serious ni Blade... unajua nimemiss kuona mtu serious super assassin on big screen kama enzi za winter soldier on captain America
She-hulk comedy yake nzuri nimependa hasa wanavyo break fourth wall ila shida ni...Sio kubet mkuu ni wazi taika harudi tena, hii she-hulk ilianza vizuri ila mpaka hii episode 4 nimepoteza interest kabisa sioni cha maana kinachoendela.
Naona hizi episode za mwanzo ni useless kwenye story kama wandavision hivyo naangalia bora liende tu.
Sijui ila labda itakuwa interesting episode zijazo.
Hii sijaianza. Nasubiri zijae jae.She-hulk comedy yake nzuri nimependa hasa wanavyo break fourth wall ila shida ni...
Hakuna kitu kilicho kwenye stake huwa napenda movie intense ile hali ya life or death circumstances ...unaangalia unawaza hapa mtu anadhurika au la! na sio movie unaangalia protagonist yuko sad cause people donโt like him/her...wtf
Daredevil kwa mbaliKwani Marvel wameshawahi kutoa TV series kali? Labda Hawkeye na Falcon/W. Soldier
Daredevil nimeicheck season one pekee ni bonge la breathtaking tv show na very serious ila sababu ilikuwa Netflix Ila kwakua anakuja DisneyPlus basi bila shaka nae watamgeuza comedian.Sasa nani atakua serious Marvel. Maana Spiderman ndio ivo, Strange comedian, Thor comedian, Iron Man no more, Captain no more, yaani nani atakua serious?
Uwa naisahau ile aisee. Yule yeah. Sema ndio hivo hayupo MCU (labda kama wanamleta maana niliona kwenye last Spiderman alikua wakili wake).Daredevil kwa mbali
Yupo na kwenye hiyo She-hulk episode za mbele atakuwepo maana na yeye si lawyer considering hii ni law showUwa naisahau ile aisee. Yule yeah. Sema ndio hivo hayupo MCU (labda kama wanamleta maana niliona kwenye last Spiderman alikua wakili wake).
Kama unampenda Meghan Thee stallion sawaHii sijaianza. Nasubiri zijae jae.
Ni comedic lakini tatizo hakuna connection between the episodes, like hawkeye ilikuwa comedic lakini kila kitu kinaungana na unakuwa interested kujua what next episode ijayo.She-hulk comedy yake nzuri nimependa hasa wanavyo break fourth wall ila shida ni...
Hakuna kitu kilicho kwenye stake huwa napenda movie intense ile hali ya life or death circumstances ...unaangalia unawaza hapa mtu anadhurika au la! na sio movie unaangalia protagonist yuko sad cause people donโt like him/her...wtf
anakwambia โThat guyโAngalau kue na Badass mmoja (Like late King of Wakanda). Kue na mtu smart mmoja (Like Iron Man). Kue na mtu serious mmoja (Like Capt.)
Sasa waliopo dah. Na niliona kwenye end-credit za Venom hii ya mwisho (Canage) wanamleta Venom kwenye MCU au nilielewa vibaya?
Edit: Pale alipo teleport akatokea hotel ya watu hafu kwenye Tv anaonekana Spiderman kisha Venom akamramba.