ukijua imetoka wap ni rahisi kujua unaipeleka wap.Wewe si umeolewa ya zamani unataka kujua ya nini na ukijua iweje?
kwa busara na hekima omba KIKAO na ye
pga kop pepa izo kwanza then zirudshe ulipozkuta.
tafuta muda nenda naye outng mwulize kwa upendo JUU YA MAKARATASI ULIYOYAONA..
AKIKUJIBU KWA BUSARA SIO ISSUE MWULIZE Y ALIKUDANGANYA/AJAWAI KUKWAMBIA JUU YA ILO kwanin?
INAWEZEKANA alikudanganya ili akupate na kwa nia njema tu alijua akikwambia ukweli usingekubali ndoa nae
km hana dalili za kukucht basi poa kuwa na aman nae tatizo ltakuja km atakua anaendelea na uyo mtalaka wake
pole lakin.
mmh ehh leo ntaokota sumn!!Huu mwaka 2010 , naona unauaga vizuri kweli mama!busara ipo juu!!!!