Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Nimekusoma mkuu...Mi nilidhani Aide-de-camp(Camp Assistant) ni mwanajeshi ambaye ni Lt Col ni personal assistant wa Mkuu wa Kaya(anafanya kazi kama kubeba mikoba ya mkuu wa kaya n.k)......
Pia nilijua Body guards wao wanatoka Kitengo cha ulinzi wa viongozi(kama ilivyo Secret Service kwa US)..
Pamoja
wakuu muuliza swali alitaka tu kujua huyo amirlyn mashiba ni nani.. na ameshapata jibu!!! BASI HAYO MENGINE TUYAACHE............TUMESHAJUA BABAKE ANAFANYA IKULU, INATOSHA
Pia nilijua Body guards wao wanatoka Kitengo cha ulinzi wa viongozi(kama ilivyo Secret Service kwa US)..
Ukweli ni kwamba ADC sio Body guard.......Ni Mpambe tu wa Mkuu wa kaya
Pamoja
Mkuu nadhani hapo unaongea kinadharia zaidi
ADC na Body Guard wote ni MILITARY OFFICERS - Naomba kwa manufaa ya mtiririko wa hii thread tuishie hapo!
Inevitable. JK = public figure.Nimesoma na kulielewa babu/bibi.....So imefikia kipindi rais lazima tujue kila mtu ambaye rais atahudhuria shughuli yake....lol
Naomba kuuliza swali la kijinga: Hivi enzi za kina Filemon Mgaya kulikuwepo uwezo wa kifedha wa kufanya send off ya kifahari namna hii?
Ni swali la kijinga tu, nimeuliza.
Naomba kuuliza swali la kijinga: Hivi enzi za kina Filemon Mgaya kulikuwepo uwezo wa kifedha wa kufanya send off ya kifahari namna hii?
Ni swali la kijinga tu, nimeuliza.
Hivi ni Machiba au Machibya?.
Pouwa Mkuu, si unajua enzi hizo kulikuwa na akina chapa ng'ombe wengi tu huko!.None of the above........Ni Mashiba
Alikuwawa ADC wa Nyerere enzi hizo. Alioza wanae bila sendoff za kifahari kama tunavyofanya leo.Na Filemon Mgaya ndio nani?
Alikuwawa ADC wa Nyerere enzi hizo. Alioza wanae bila sendoff za kifahari kama tunavyofanya leo.
Hii mbona cha mtoto. Kuna siku JK alipigwa picha akimpa dogo mmoja peremende acha watu humu wamkomalie koo...ooh eti ni aibu kwa raisi kumpa dogo peremende oooh raisi alitakiwa awe anafanya kazi za kutatua umaskini...yaani ili mradi tu. That is very petty in my opinion. Sasa le kahudhuria sijui send off imekuwa nongwa and somebody is gonna bit.ch and moan about it. But, all of this comes with the territory. Na kitu ninachomsifu JK ni kwamba he has a thick skin. Sidhani vi petty criticism kama hivi vinamkosesha usingizi.
Sasa subirini siku atakapoanza kucheza golf na yeye muone watu watakavyofuka....
Bado unau-defend u-presidential candyman in the midst poverty as a non-petty issue?
Hakuna cha ajabu JK kuhudhuria send off ya Marylin. Kwani nyie mlimwalika kwenye sherehe zenu akakataa kuhudhuria? ( Baba yake Marylin anafanya kazi ikulu kama mnataka kujua connection)....
Whao!..Send-off nzuri ila badala ya kuwa siku ya Marylin ikawa ya JK kwa jinsi alivyopaishwa wakati ni mhudhuriaji tu au ndo mambo ya itifaki?!..
Sioni tatizo kabisa uwepo wa JK, infakt naolewa karibuni na ningependa kumualika JK!! I hope atakubali kujumuika nami!..
ndio, ulikuwa hujui? tumemwajiri, tunamlipa mshahara tukitaka kujua anafanya nini ni haki yake. Besides, can't help it if the the mind wonders... You are being defensive where no defense is needed