mimi Najua watu hawatakuwepo kariakoo saa 8 usiku kufanya manunuzi kwa kuhofia usalama wao wanakotoka na kwenda baada ya manunuzi. Umeme hauko stable jijini, mitaa Haina taa, kamera Wala walinzi. Wavuta bhangi na vishandu wamejaa Kila Kona wakivizia mawindo.White elephant
HMbona kwenye kumbi za sherehe ni mbali Sana lakini watu tunaenda? Tena na watoto? Mbona kwenye mikesha makanisani tunaenda Tena kwingine nimbali ibada inaisha saa kumi usiku?
Hapo itachochea biashara za mail macasino na sehemu za kupumzika kwa mfano mlimani city ukiamua unakaa zako adi kupambazuke Kuna atakaye kuzuia? Au unakomaa kwenye kituo Cha mwendo Kasi adi jua lichomoze
Nakupa Siri ilala boma soko la mitumba na soko la karume pale watu wa magenge, watu wa mitumba viatu nguo, wanaingia. Kuanzia saa Tisa kufanya shopping ad saa kumi na mbili mtu asha Rudi na mzigo wake mtaani
Maendeleo hayana chama.
Yesu ndio jibu
Hebu ona, wenzako wanaongelea kariakoo wewe unaongelea Mlimani City.Mbona kwenye kumbi za sherehe ni mbali Sana lakini watu tunaenda? Tena na watoto? Mbona kwenye mikesha makanisani tunaenda Tena kwingine nimbali ibada inaisha saa kumi usiku?
Hapo itachochea biashara za mail macasino na sehemu za kupumzika kwa mfano mlimani city ukiamua unakaa zako adi kupambazuke Kuna atakaye kuzuia? Au unakomaa kwenye kituo Cha mwendo Kasi adi jua lichomoze
Nakupa Siri ilala boma soko la mitumba na soko la karume pale watu wa magenge, watu wa mitumba viatu nguo, wanaingia. Kuanzia saa Tisa kufanya shopping ad saa kumi na mbili mtu asha Rudi na mzigo wake mtaani
Maendeleo hayana chama.
Yesu ndio jibu
Wa mikoani njooni mpigwe roba za mbao usikuItatusaidia sisi wa mikoani naweza nikafika daa sa nane usiku nikaingia dukan bt usalama hapo ndio shida
Unalinganisha nyie walevi mbakesha usiku na mkirudi nyumbani mnakuwa mmebeba kitimoto iliyobaki na bia mbili. Sasa kibaka Gani akukamate...Mbona kwenye kumbi za sherehe ni mbali Sana lakini watu tunaenda? Tena na watoto? Mbona kwenye mikesha makanisani tunaenda Tena kwingine nimbali ibada inaisha saa kumi usiku?
Hapo itachochea biashara za mail macasino na sehemu za kupumzika kwa mfano mlimani city ukiamua unakaa zako adi kupambazuke Kuna atakaye kuzuia? Au unakomaa kwenye kituo Cha mwendo Kasi adi jua lichomoze
Nakupa Siri ilala boma soko la mitumba na soko la karume pale watu wa magenge, watu wa mitumba viatu nguo, wanaingia. Kuanzia saa Tisa kufanya shopping ad saa kumi na mbili mtu asha Rudi na mzigo wake mtaani
Maendeleo hayana chama.
Yesu ndio jibu
Mkaamini kabisa 24/7 bussiness?Mitaa yetu ina giza nene totoro na vibaka wengi sana, na wakati mwingine hakuna umeme kabisa.
Ni jambo jema sana biashara kariakoo masaa 24, itasaidia kuchechemua uchumi wa watu, familia, jiji na taifa kwa ujumla. Usalama Kariakoo umeimarishwa kwa kufunga taa, kamera na kuwa na walinzi wa watu na mali zao wakiwa Kariakoo. Hata hivyo kuweka usala Kariakoo tu peke yake bila kufanya hivyohivyo na kwenye mitaa wanakoishi wananchi (wanunuzi/wateja) ni kuhatarisha usalama wao na mali wazilizozinunua usiku wa manane Kariakoo. Wataporwa watakapokuwa wanarudi nazo majumbani kwao kwenye mitaa yenye giza na isiyokuwa na kamera wala ulinzi wowote.
Tuache kukopi na kupesti matukio kutoka nchi za watu bila kuchota na kupesti mazingira ya matukio hayo huko mlikoyakopi.
Tujiandae kuona watu wakiporwa na kuumizwa wakati wakitoka Kariakoo saa 9 usiku kurudi majumbani kwao.
Anafikiri wezi hawana akiliUnalinganisha nyie walevi mbakesha usiku na mkirudi nyumbani mnakuwa mmebeba kitimoto iliyobaki na bia mbili. Sasa kibaka Gani akukamate...
Unalinganisha na kariakoo mtu anaenda Kununua Mzigo wa simu za milion 15 Kwa jumla
Kifupi wamedandia treni kwa mbele, iga vyote tukio na background yake. Think globally and act locally.Mkaamini kabisa 24/7 bussiness?
Maswali ya kujiuliza:-
- Wamiliki watakuwa tayari kuongeza wahudumu/wauzaji wa kubadilishana zamu?
- Sheria ya kukamata watu usiku na kusema ni wazururaji itaonoshwa?
- Mabenki yatafunguliwa usiku?
- Kama mchana tu mwanamke akiita kariakoo anashikwa maziwa, matako na kupigiwa miruzi, je usiku ataachwa kuvutwa kichochoroni na kubakwa?
- Nani ataweka ulinzi wa magari ya wanunuzi kama mchana tu mateja na vijana wa " Mnadani" wanaiba mirror, wiper na vifuniko vya matairi, usiku je?
Hapa umekurupuka...Mabenki yatafunguliwa usiku?
Huyu jamaa ni mtoto lakini angefanya zaidi kuliko hivi. tatizo la watu wa dar sio kununua na kuuza masaa 24.Ndani ya Kariakoo shida sio kubwa.. Ila huko watokako na waendako wateja