Masaada jamani...!!

Masaada jamani...!!

Kiboko Yenu

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
311
Reaction score
66
Mwenzenu nimekuwa nasumbuliwa na maralia mara kwa mara japo huwa nalala na net na pia chumba huwa napulizia net yani kwangu haiwezi kupita hata wiki 6 bila kuuguwa
 
Subiri kidogo wataalamu wa hayo maradhi saa hizi wana njaa wakishapata Lunch wataanza kukumwagia mavituz,pole.
 
ndio maana kila nikienda hospitali huwa na desturi ya kupima magonjwa yote ila huwa na kutwa nayo
 
Unapojisikia vibaya usikimbilie kupima malaria, huwezi kuyakosa hata Siku moja?

Mwenzenu nimekuwa nasumbuliwa na maralia mara kwa mara japo huwa nalala na net na pia chumba huwa napulizia net yani kwangu haiwezi kupita hata wiki 6 bila kuuguwa
 
Back
Top Bottom