Me ninayo ila jifunze kwanza kuandika vzrWakuu kama naomba masada kama wiki3 zilizopita kuna uzi uliwekwa wa FREE AZAM APP..
ambayo hulipii chochote, kuna KITU kama code scanner ndio iliwekwa ukishascann unakuwa uninstall...
Hivyo niljkuwa mayo baada ya kurestore simu imepotea na huo uzi humu siuoni naomba mwenye hiyo APP anisaidie hata PM
Mbona umeng'ang'ania PM, PM, PM! Hautaki na wengine wafaidikeee!!!?Poa man nilkuwa na haraka sana.. nisaidie pm mkuu npo nje ya tz