Masahihisho: Historia ya Maulid Hassan na Julius Nyerere Namtumbo 1955

Masahihisho: Historia ya Maulid Hassan na Julius Nyerere Namtumbo 1955

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
MASAHIHISHO YA HISTORIA YA MAULID HASSAN

Kizito Mpangala
Si kweli

Aliyemficha Mwalimu Nyerere ameshafariki alikuwa baba yake Maulid Hassan alifahamika kama HASSAN MANGUNYUKA.

Huyu Maulid alikuwa kijana mdogo enzi hizo.

Ijapokuwa historia haisemi wazi Mwalimu Nyerere alisaidiwa na familia ya Wahindi walijulikana kama HASSANALI DINANI BROTHERS.

HASSANALI DINANI BROTHERS waliongoza vijana kukata matawi ya miti na kulificha gari la Mwalimu Nyerere.
 
Father ,sikweli wote tunajua kilichomkuta nyeyere huko namtumbo
 
Back
Top Bottom