350,000/- kwenda Arusha kwa basi au kwa vile kaambiwa ni mapya na ya mwendo kasiKuweni makini
Masai mmoja mwenyeji Wa karatu, kapandishwa mwendokasi akiwa na lengo la kufika Arusha, masai huyo aliyeonekana mkali sana akiwa eneo la kimara baada ya kuambiwa watu wote kuwa basi letu limefika mwisho, hapo ndo akaanza kuhoji eti rafiki kwani hii Arusha imefika, baada ya kujibiwa hii haiendi Arusha; ndo akaanza kuwaka kwa kudai ile kijana ubungo nimeilipa 350000/= na kunileta Kwa hii basi yao Mpya! Sasa hii inatangaza imefika mwisho ...kwani hii Arusha?
Sijui labda alidanganywa ni bei ya luxury bus350,000/- kwenda Arusha kwa basi au kwa vile kaambiwa ni mapya na ya mwendo kasi
35000asante kwa taarifa-burudani. nadhani unamaanisha kalipishwa 35,000/- maana hiyo milaki haiingii akilini labda kama ingekuwa kadanganywa mitiketi ya fastjet.
Kuweni makini
Masai mmoja mwenyeji Wa karatu, kapandishwa mwendokasi akiwa na lengo la kufika Arusha, masai huyo aliyeonekana mkali sana akiwa eneo la kimara baada ya kuambiwa watu wote kuwa basi letu limefika mwisho, hapo ndo akaanza kuhoji eti rafiki kwani hii Arusha imefika, baada ya kujibiwa hii haiendi Arusha; ndo akaanza kuwaka kwa kudai ile kijana ubungo nimeilipa 35000/= na kunileta Kwa hii basi yao Mpya! Sasa hii inatangaza imefika mwisho ...kwani hii Arusha?
Elfu thelathin na tanoHapo kwenye bei pana mushkeri, mmasai wa karatu ajatoa 35,000 hata iweje
Na Mimi huwa nashangaa Sana. Wao na wasukuma wanaonekana kama washamba kupitiliza.Kwann wamasai wanachukuliwa washamb a sana?
35, 000/=350,000/- kwenda Arusha kwa basi au kwa vile kaambiwa ni mapya na ya mwendo kasi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji84] [emoji84] [emoji84]Ata sishangai mie,maana ata LOWASSA alidanganywa apande bus la UKAWA eti litamfikisha Magogoni.
Nyie nanyi!Mbona mleta uzi kaandika 35,000? Dakika yoyote kuanzia sasa mwaweza kuwa wadau wa Ndalichako.Inaonyesha ni zao la BRNMsameeni itakua alitaka andika 35,000
Jamaa kaedit kumbe tayari mwanzo ilikuwa imeandikwa 350,000/-35, 000/=