Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Masai ni jadi yake kutembea na fimbo miaka yote. Hakuna siku tumewahi kuiona fimbo ya Masai kama silaha. Kinachoendelea Zanzibar ni mwendelezo wakupambana na kabila hili kutokana na ukweli kwamba wamejaa Zanzibar na wanaongea vibaya kuhusu ngorongoro.
Ukiwakuta wakiwa na wazungu wanajadili mada ya Ngorongoro na matamshi yao ni wazi siyo mazuri. Pamoja na matamshi mabaya dhidi ya wenzetu, haikuwa na tija kuwapelekea askari wawapige. Wamepigwa na wao ni binadamu wakapiga. Leo limetolewa tamko hakuna ruhusa Masai kuingia zenji na fimbo wala sime......je sheria gani imetamkwa haya?
Lakini wazungu wanatembea uchi Zanzibar na hakuna askari anayewagusa....wanatembea na dogs hakuna makatazo. Wanafanya mengi mabaya lakini tupo kimya....Masai kuonekana kero ngorongoro na sasa kero Zanzibar . Tulitegemea afuge mifugo na kuishi maisha duni tumtawale ? Ameamua kujitawala.
Natambua mahakama Zanzibar itawafunga miaka mingi tena ndani ya muda mfupi ujao.....lakini one day watakuwa huru
Ukiwakuta wakiwa na wazungu wanajadili mada ya Ngorongoro na matamshi yao ni wazi siyo mazuri. Pamoja na matamshi mabaya dhidi ya wenzetu, haikuwa na tija kuwapelekea askari wawapige. Wamepigwa na wao ni binadamu wakapiga. Leo limetolewa tamko hakuna ruhusa Masai kuingia zenji na fimbo wala sime......je sheria gani imetamkwa haya?
Lakini wazungu wanatembea uchi Zanzibar na hakuna askari anayewagusa....wanatembea na dogs hakuna makatazo. Wanafanya mengi mabaya lakini tupo kimya....Masai kuonekana kero ngorongoro na sasa kero Zanzibar . Tulitegemea afuge mifugo na kuishi maisha duni tumtawale ? Ameamua kujitawala.
Natambua mahakama Zanzibar itawafunga miaka mingi tena ndani ya muda mfupi ujao.....lakini one day watakuwa huru