Masaki kwa matajiri inatia aibu

Masaki kwa matajiri inatia aibu

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
88,759
Reaction score
123,368
Hivi barabara ya kuelekea yatch club inatia fora,unakutana na mashimo,maandaki sehemu za huko ndiko wanakaa viongozi, Mabalozi, Wageni kutoka nje.

Wengine mpaka wageni wetu wanatuliza hivi huku ndiyo wanakaa matycoon mbona njia ziko ovyo.

Kingine cha ajabu hao wakandarasi wanachofanya ni kufukia tu mashimo uhuuni tu unafanyika.

Ni aibu sana maana wageni wanaona vituko tu.

20240622_104640.jpg
20240622_104654.jpg
20240622_104711.jpg
 
unatumia gar left hand halafu leo ndo kwanza unafika masaki....
 
Hivi barabara ya kuelekea yatch club inatia fora,unakutana na mashimo,maandaki sehemu za huko ndiko wanakaa viongozi, Mabalozi, Wageni kutoka nje.

Wengine mpaka wageni wetu wanatuliza hivi huku ndiyo wanakaa matycoon mbona njia ziko ovyo.

Kingine cha ajabu hao wakandarasi wanachofanya ni kufukia tu mashimo uhuuni tu unafanyika.

Ni aibu sana maana wageni wanaona vituko tu.

Inahuzunisha
 
Back
Top Bottom