mpwaaz,Nilikuwa sijaiona hii, lol!
wapwaz kausafiri hako msiache
mkuu hiyo kali kweliKumuenzi Invisible van langu nimeweka chata la Jina lake na van langu lingine litaweka jina la Mzee Mwanakijiji, samahani sijawaomba idhini lakini in JF wote ni ndugu! Hizi van zitakuwa bongo kabla ya January!
Masa
kanapita ruti gani hako kausafiri?wapwaz kausafiri hako msiache
mkuu hiyo kali kweli
Bingo.
Nimewasiliana na kiwanda cha kufuli watengeneze bikini za JF.
unaonaje idea hiyo?? najua FIDEL anaiunga mkono
<INPUT id=gwProxy type=hidden><!--Session data--><INPUT id=jsProxy onclick=jsCall(); type=hidden>