Masanja amshukia mchungaji Msigwa wa CHADEMA kama tai, asema hata Cedrick aliwahi kujoke vita ya Iraq mbele ya Rais Bush

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ngoma inogile kwa wachungaji wawili maarufu wa kanisa la Pentecoste.

Mchungaji Msigwa ndio ameanza uchokozi kwa kumwambia mchungaji mwenzake yaani Masanja kwamba jana alitia aibu kwa aliyoyafanya mbele ya marais watano.

Mchungaji Masanja naye akamjibu Msigwa huko huko twittani kwamba hata msanii wa vichekesho Cedrick aliwahi kujoke kuhusu vita ya Iraq mbele ya Bush akiwa Rais wa Marekani

Niombe tu baba askofu Mwamakula awasuluhishe hawa wachungaji.

Maendeleo hayana vyama!
 
Masanja mzaha sana.
Akikosaga hoja twitter anakimbilia kitufe cha BLOCK

Hopeless kabisa
 
Hili ndilo tatizo kubwa la uongozi wa CCM. Kila rais anaingia na misukule yake. Magufuli alikuwa na kina Makonda, Sabaya nk, sasa na Samia naye kaingia na hii ya kwake.
 
Masanja ana uvhubgaji gani darasa la nne b huyu?? Uchungaji ni process sio sawa na degree zenu za kuokota jalalani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…