Masanja Kadogosa katumbuliwa kama Katibu wa Bodi ya TRC. Je, anabaki na Ukurugenzi wake? Kama anabaki nao ni halali?

Masanja Kadogosa katumbuliwa kama Katibu wa Bodi ya TRC. Je, anabaki na Ukurugenzi wake? Kama anabaki nao ni halali?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwanza kabisa niwatakie Jumatatu ya Pasaka yenye Baraka.

Sasa naomba majibu ya swali langu.

Masanja Kadogosa ni Katibu wa Bodi ya TRC na anaingia Hapo siyo kwa kuteuliwa bali kutokana na Cheo chake cha Mkurugenzi mkuu wa TRC.

Sasa Masanja Mkandamizaji katumbuliwa kwenye Bodi je bado ana uhalali wa kuendelea kuwa MD na ikiteuliwa Bodi nyingine arudi tena kama Katibu?

Nipo hapa kuelimishwa

Shujaa: Nitawaletea Treni ile Watoto wa Mjini wanaiita "Mjusi"
 
Kwanza kabisa niwatakie Jumatatu ya Pasaka yenye Baraka

Sasa naomba majibu ya swali langu

Masanja Kadogosa ni Katibu wa Bodi ya TRC na anaingia Hapo siyo kwa kuteuliwa bali kutokana na Cheo chake cha Mkurugenzi mkuu wa TRC

Sasa Masanja Mkandamizaji katumbuliwa kwenye Bodi je bado ana uhalali wa kuendelea kuwa MD na ikiteuliwa Bodi nyingine arudi tena kama Katibu?

Nipo hapa kuelimishwa

Shujaa : Nitawaletea Treni ile Watoto wa Mjini wanaiita " Mjusi"

Hoja yako inasema ili uwe katibu wa bodi uwe mkurugenzi sio ili uwe mkurugenzi uwe katibu wa bodi.. Bodi mpya ikija ataendelea na cheo chake..

Sema wamepiga sana hela hapo Tanzania Railways Corp na risiti za kitabu Dar city train..
 
Kapta ukaribu wa bodi kupitia nafasi ake na haja pata nafasi ake kupitia ukaribu wa bodi.
 
Hoja yako inasema ili uwe katibu wa bodi uwe mkurugenzi sio ili uwe mkurugenzi uwe katibu wa bodi.. Bodi mpya ikija ataendelea na cheo chake..

Sema wamepiga sana hela hapo Tanzania Railways Corp na risiti za kitabu Dar city train..
Kama ilivyo halmashaurini ambapo mkurugenzi ni katibu wa baraza la madiwani vivyo kwenye mashirika ya umma mkurugenzi ni katibu wa bodi. Ndio maana kwenye teuzi za bodi ,anateuliwa Mwenyekiti na wajumbe tu ,nafasi ya katibu inakuwa na mtu.
 
Kama ilivyo halmashaurini ambapo mkurugenzi ni katibu wa baraza la madiwani vivyo kwenye mashirika ya umma mkurugenzi ni katibu wa bodi. Ndio maana kwenye teuzi za bodi ,anateuliwa Mwenyekiti na wajumbe tu ,nafasi ya katibu inakuwa na mtu.
Kwahiyo Bodi ikivurunda Katibu anapona?
 
katibu kwenye bodi ni mshauri tu na.mwandika muhtasari

kuna wakati unaweza shauri hili lisifanyike ila wajumbe wa bodi wakaamua wafanye kwa mapenzi yao katibu utafanya nini

kama kwenye uvurundaji katibu alikuwa akishauri tofauti na doc. zipo hana hatia

ikirudi bodi nyingine anarudi tena
 
katibu kwenye bodi ni mshauri tu na.mwandika muhtasari

kuna wakati unaweza shauri hili lisifanyike ila wajumbe wa bodi wakaamua wafanye kwa mapenzi yao katibu utafanya nini

kama kwenye uvurundaji katibu alikuwa akishauri tofauti na doc. zipo hana hatia

ikirudi bodi nyingine anarudi tena
Duh.....!
 
Kwa hiyo bodi mpya ikaanza kazi inaingia kazini inapokelewa na mwizi aliyekuwa bodi ya awali sio ,anaanza tena kuwafundisha na wao wizi sio eee
Mwendo ndo ule ule mzee wangu
 
Kila mkurugenzi wa taasis ni katibu wa bodi/baraza automatically
 
Kwanza kabisa niwatakie Jumatatu ya Pasaka yenye Baraka

Sasa naomba majibu ya swali langu

Masanja Kadogosa ni Katibu wa Bodi ya TRC na anaingia Hapo siyo kwa kuteuliwa bali kutokana na Cheo chake cha Mkurugenzi mkuu wa TRC

Sasa Masanja Mkandamizaji katumbuliwa kwenye Bodi je bado ana uhalali wa kuendelea kuwa MD na ikiteuliwa Bodi nyingine arudi tena kama Katibu?

Nipo hapa kuelimishwa

Shujaa : Nitawaletea Treni ile Watoto wa Mjini wanaiita " Mjusi"
Huyo naona wanamlea lea sana.
 
Kwanza kabisa niwatakie Jumatatu ya Pasaka yenye Baraka

Sasa naomba majibu ya swali langu

Masanja Kadogosa ni Katibu wa Bodi ya TRC na anaingia Hapo siyo kwa kuteuliwa bali kutokana na Cheo chake cha Mkurugenzi mkuu wa TRC

Sasa Masanja Mkandamizaji katumbuliwa kwenye Bodi je bado ana uhalali wa kuendelea kuwa MD na ikiteuliwa Bodi nyingine arudi tena kama Katibu?

Nipo hapa kuelimishwa

Shujaa : Nitawaletea Treni ile Watoto wa Mjini wanaiita " Mjusi"
Yes yeye anaendelea kwasababu yeye ni mtu safi, hahusiki ila najua kuna watu wana hamu sana Wasukuma wote walioteuliwa na Magufuli, watumbuliwe kwasababu wanadhani waliteuliwa kwa Usukuma wao na sio kwa sifa zao na vigezo.

Mama akifanya kosa hili, la kuwatumbua Wasukuma kwasababu tuu ni Wasukuma na waliteuliwa na Msukuma, atakuwa anatenda dhambi kubwa ya ubaguzi!. Japo Rais Magufuli ni Msukuma, sijui ni wangapi humu wanafahamu kwanini ni Magufuli, Mimi ni mmoja wa watu wachache sana wanafahamu why ni Magufuli https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Na japo Magufuli alijaza Wasukuma baadhi ya maeneo, niliwahi kulishauri Bunge letu lichunguze https://www.jamiiforums.com/threads...bu-na-zile-boeing-ni-tt-then-hatufai.1246099/

Hivyo japo ni kweli Magufuli aliwateua Wasukuma wengi lakini hakuwateua kwa sababu ya Usukuma wao, aliwateua kwasababu ya kukidhi sifa na vigezo https://www.jamiiforums.com/threads...enye-ukabila-tatizo-ndio-walio-wengi.1290353/

Hivyo Mama akifanya kosa la kuwatumbua Wasukuma kwa Usukuma wao, atakuwa amefanya kosa kubwa la dhambi ya ubaguzi, karma haitamuacha Mama salama!.

Japo hakuna mtu yoyote ajuaye ni kwanini JPM ameitwa mapema, lakini wapo watu wanaojua na sababu wanazijua, hivyo wana jukumu la kumsaidia Mama kuepuka mambo yanayotengeneza bad karma

Inabidi kwenye vile vikao kazi vyao na semina elekezi wawe wanaita na watu wa holistic advice ili wafundishwe kitu kinachoitwa karma, it's real na kuhakikisha wanapoboronga, wanapisha tuu wenyewe ili kumlinda Mama https://www.jamiiforums.com/threads...shia-rais-wetu-kubeba-mzigo-wa-karma.1946897/
P
 
moja ya udhaifu mkubwa wa mfumo wetu wa kuendesha mashirika ni kufanya Mtendaji Mkuu wa Taasisi kuwa ndie Katibu wa Bodi inayosimamia Taasisi hiyo hiyo

unawezaje kuwa Mratibu wa bodi inayokusimamia?

ni sawa na Chief Internal Auditor kuwa kwny Management ya Taasisi anakula maposho na magumashi yote ya ki Management halafu tutegemee atatoa report ya kujichoma kwa bodi
 
katibu kwenye bodi ni mshauri tu na.mwandika muhtasari

kuna wakati unaweza shauri hili lisifanyike ila wajumbe wa bodi wakaamua wafanye kwa mapenzi yao katibu utafanya nini

kama kwenye uvurundaji katibu alikuwa akishauri tofauti na doc. zipo hana hatia

ikirudi bodi nyingine anarudi tena
Acha kupotosha

Katibu wa Bodi ndio mratibu na muandaaji wa Mikutano yote ya bodi ikiwemo kuandaa board paper

Ushawishi wake ni mkubwa zaid ukiondoa wa mwenyekiti
 
Back
Top Bottom