Masanja kapata kura 19 kati ya 1193 huko Ludewa, ameshauriwa awekeze kwenye Komedi

Masanja kapata kura 19 kati ya 1193 huko Ludewa, ameshauriwa awekeze kwenye Komedi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
katika hali isiyo ya kawaida wasanii wameendelea kupata walichokuwa wanakitafuta baada ya Emmanuel Mgaya kuungana na Uwoya kuisoma namba.
Masanja aliyedhania Ubunge ni kazi rais kama kufanya komedi amepata kura 19 tu kati ya mamia ya kura za maoni na kufanikiwa kumshinda mtu mmoja tu kati ya wagombea 7.
Hata hivyo wakazi wa Ludewa wakimshauri aendelee na komedi,wengine wakimwambia akalime mpunga wakati wengine wakimshauri awekeze kwenye uchungaji zaidi.

Jamani ccm ina wenyewe
 
Naonaga ama shamba kubwa tu analima na kujipatia pesa.
 
duh!!!! mleta thread umeandika kishabiki sana.
 
Mbona idadi ya wapiga kurA ni ndogo sana??
Hao magamba nimejua si wengi hapa nchini
 
Ahahaah kwel bhnaa ccm sio rafiki kwa wasani jamaa alijitoa kwnywe kampeni za mr pushap alafu leo Chali duh ccm inawenyewe aludi kwnywe uchungaji
 
Hata mi namshauri aongeze bidii kwenye comedy, siasa awaachie Kina prof Jay
 
Back
Top Bottom