Masanja mkandamizaji atembelea mgodi wake wa dhahabu

Ni watu ambao hawana akili pekee watabeza juhudi za Masanja....

Wakati mnapiga kelele mjini yeye yuko porini analima mpunga

wakati mnashinda vijiweni yuko polini anatafuta dhahabu

Wakati mnakula KFC yeye yuko busy anauza wali nyama na sahivi kafungua Burger points

Mwisho wa siku mnapiga kelele sijui unga sijui nini. Acheni wivu fanyeni kazi
 
Sijui ni macho yangu au lah Huo mradi mbona wa kawaida sana
 
Masanja ni mpigaji, muhuni mkubwa nimekaa nae hata kabla ya kuanza uchungaji wake kuna majamaa flani mapacha wakenya ndio ma role model wake, pesa Anapatia kwenye uchungaji sasa namna ya kuzitakatisha ndio anakuja na miradi hii, ile siku pale leaders alivyokuwa anawaelezea wale jamaa na tukaenda nae kwenye huo mkutano wao kariakoo nilihisi huyu jmaa ndio lucifer mwenyewe

Aliwapamba kuwa ni wacha Mungu ila na anasa za dunia wanfanya, wana magari mazuri, wanakula bata n.k baada ya miezi kadhaa nasikia eti ni mchungaji
 
we nae umepewa kichwa ufikiri sio kufuga chawa tu,hivi masanja unamfahamu?hayo anayofanya ni maigizo ya kutakatisha fedha,hebu fuatilia chanzo cha utajiri wake na muda alioanza kununua hivyo vi shamba ndo utajua mchezo anaoucheza.

Hivi masanja nae tajiri? Dah kipimo chako cha kupimia utajiri nadhani gauge yake imeharibika.
 
we nae umepewa kichwa ufikiri sio kufuga chawa tu,hivi masanja unamfahamu?hayo anayofanya ni maigizo ya kutakatisha fedha,hebu fuatilia chanzo cha utajiri wake na muda alioanza kununua hivyo vi shamba ndo utajua mchezo anaoucheza.

Mkuu si ufunguke Kama wajua habari zake!
 
we nae kama wadada wa kona sinza mwepesi kuamini vitu bila kushirikisha kichwa, hata ukiambiwa masanja ana miliki tilioni 5 utaamini tu kwa kichwa panzi chako
Acha wivu tafuta pesa wewe mwanamke usisubiri upige mizinga kwa madanga yako
 
ndo uwezo wako wa akili ulipoishia , kila kitu mnakimbilia wivu tu, au nawe nyumba ndogo ya masanja? yaan ghafla bin vuuu awapite wanakikundi wenzie utajiri zaidi ya mara 1000? sio kwa speed hiyo dada
Huyo unaemuelewesha hamnazo mkuu bora umuache aendelee kuamini ujinga wake.
 
Mwenzake Joti anaendelea kuigiza kama jike
hahahahaaaaa umesahau siku hizi anativi yake ya online kazi anaiwaiga mapunga na kuiga nyimbo za watu pamoja na kuigiza video za zamani anazirudia upya
 
hahahahaaaaa umesahau siku hizi anativi yake ya online kazi anaiwaiga mapunga na kuiga nyimbo za watu pamoja na kuigiza video za zamani anazirudia upya

Ndo ujiulize sasa , hao wakina Joti na Mpoki kama watu wake wa karibu hawautaki huo utajiri kama wake? yaani kabisa wamwone mwenzao analima sijui Mbeya anaingiza mabilioni wao watulie tu?? kwamba wote wameshindwa kumuiga?
 
Uko kama Mimi....yaani kuuza mchele+matikiti+mchungaji=umiliki mgodi, migorofa, ndege[emoji15] [emoji15] [emoji15] moyo umegomaaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] hadi ndege
 
we nae umepewa kichwa ufikiri sio kufuga chawa tu,hivi masanja unamfahamu?hayo anayofanya ni maigizo ya kutakatisha fedha,hebu fuatilia chanzo cha utajiri wake na muda alioanza kununua hivyo vi shamba ndo utajua mchezo anaoucheza.
Kaanzia kwenye upastor ndo akaibuka Kama uyoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…