Masanja mkandamizaji atembelea mgodi wake wa dhahabu

Mmmh anamiliki mgod au ni maneno fulan hiv yametumika lkn haimanishi hvyo. Et anamiliki mgodi[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] . Alfu jamii forum kuna wahuni humu wanaaongea vtu knyume nyume[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Sasa mbona ulikuwa unamsifia sana brother wakat wewe mwenywe naamin ni mpaganaji na makini [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Unaakili ndogo. Gunia 5,000 za mpunga za debe kumi kumi kwa msimu mmoja tu ukiziuza mwezi wa 12 wakati debe moja linatembelea bei ya 32,000 utapata shiling ngapi?

acha kukariri wakulima wote bongo wangekuwa matajiri kwa hayo mahesabu yako ya kwenye karatasi
 
Nganda on fleek!!![emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji106] [emoji765] [emoji777] [emoji777] [emoji777] [emoji777] [emoji777] [emoji777]
 
Masanja mkandamizaji ametembealea mgodi wake wa dhahbu na kuonyesha zoezi zima la uchimbaji dhahabu linavyofanyika

Hivi Makao Makuu ya Ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi ( albino ) hapa Tanzania yapo wapi?
 
The comedy inaendelea ,ki
Masanja mkandamizaji ametembealea mgodi wake wa dhahbu na kuonyesha zoezi zima la uchimbaji dhahabu linavyofanyika
Kila kitu anachokifanya anataka kukionyesha kwa jamii,kuna nini nyuma ya pazia anakitakatisha?
 
Mwenzake Joti anaendelea kuigiza kama jike
Lakini mwisho wake Joti ndie ataonekana mwanaume,wengine wanafanya wanayoyafanya kutakatisha pesa chafu ndio maana kila analofanya hupiga video ili aonekane utajiri kaupata kihalali afadhali ya Joti anayeigiza kama jike,ya mwisho haya na ngoma ikivuma mwisho wake hupasuka katikati ya sherehe,mwanawani.
 
dua la kuku......
 
we nae umepewa kichwa ufikiri sio kufuga chawa tu,hivi masanja unamfahamu?hayo anayofanya ni maigizo ya kutakatisha fedha,hebu fuatilia chanzo cha utajiri wake na muda alioanza kununua hivyo vi shamba ndo utajua mchezo anaoucheza.
huo mchezo anaoufanya tuambie maana inaonekana unaujua sana..Wewe kaufanye pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…