Masanja Mkandamizaji kufungua kituo chake cha television na radio

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Mchekeshaji wa kikundi cha Orijino Komedi ameweka wazi mpango wake wa kufungua kituo chake cha radio na tv ambavyo atavisimamia yeye mwenyewe.

Akizungumza na 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM masanja amesema ameshapata mafunzo ya uandishi wa habari ili kujifunza namna ya kuendesha vituo hivyo.

Chanzo: bongo5.COM
 
Wazo zuri na Masanja atalifanikisha kweli.
 
Habari njema hizo na hongela zake kwahilo alifikilialo kama atalifanikisha!
 
Hongela=hongera
Sasa hapo si yupo sawa maana umesema Hongela=hongera
 

so what?
 
insipiration from a guy who sarted fom a poor village, with almost nothing
akafanya kazi, akasave sasa anawekeza asaidie taifa kwenye kodi na vijana kwenye ajira, na bado ni kijana mdogo, japokua yupo kama ana majivuno flani hivi, nime appreciate juhudi na vision zake, don't ya?
 

hivi mkuu kuna tofauti gani kati ya powder, ngano na ganda?
 
Asipokuelewa basi wivu utakuwa unamsumbua.
 
kasome pia ukavichunguze utajua, maana sioni relevance ya swali lako kwenye uzi huu

kama unaishi kwa wakoloni huwezi kulielewa ila kama wewe ni mtoto wa bongo lazima tu hayo maneno tajwa utakuwa unayajua tu unless wewe ni ( kkb ), asante.
 
kama unaishi kwa wakoloni huwezi kulielewa ila kama wewe ni mtoto wa bongo lazima tu hayo maneno tajwa utakuwa unayajua tu unless wewe ni ( kkb ), asante.
kama una point, ongea point yako ieleweke, la sivyo sioni sababu ya kuendelea kujibizana na wewe
 
HONGERA MASANJA, MOLA AKUTIE NGUVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…