Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Yule msemaji mahiri kabisa katika soka la bongo, Masao Bwire wa Ruvu shooting ameanza tambo zake mara baada ya timu yake kurudi ligi kuu na kuhaidi kuwa timu hiyo ya RUVU shooting itatwaa ubingwa msimu ujao kwani wao ndio watakuwa Leicester City ya bongo.
Wamejipanga vya kutosha kuja kutwaa ubingwa huo unaoshikiliwa na Yanga. Huyo ndio masao bwire, msenaji bora kabisa wa klabu za kibongo, hao akina Jerry Muro na Manara wajiandae...
Wamejipanga vya kutosha kuja kutwaa ubingwa huo unaoshikiliwa na Yanga. Huyo ndio masao bwire, msenaji bora kabisa wa klabu za kibongo, hao akina Jerry Muro na Manara wajiandae...