Masau Bwire...taarifa zako aheri ya ngonjera

MAGEUZI KWELI

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2011
Posts
1,947
Reaction score
253
Huwa nikisikia ripoti za huyu mwandishi kucheka nashindwa na hata ule umakini wa kusikiliza kwa taarifa unakuwa kama haupo kwani anaongeeeeeeeea mpaka ladha ya kusikiliza inapotea..
Hii ni kwangu lakini sijui wengine...
 
Huwa nikisikia ripoti za huyu mwandishi kucheka nashindwa na hata ule umakini wa kusikiliza kwa taarifa unakuwa kama haupo kwani anaongeeeeeeeea mpaka ladha ya kusikiliza inapotea..
Hii ni kwangu lakini sijui wengine...

Ndo nani sijakuelewa
 
Huyo Masau Bwire alikuwa ni mwalimu wangu wa Primary pale Mburahati na alinifundisha miaka ya 90,na ongea yake ukimsikia utadhani anafanya makusudi kumbe ndivyo alivyo
 
Hivi kila mtu akiamka analeta topic zisizo na kichwa! sasa mambo ya mwandishi anaeripoti nayo ni siasa? Acha UMBULULA.
 
kajipange mkuu jaribu kumsikiliza tena na si lazima umsikilize yeye over.
 
weka wasifu wake vizuri ilitumanye huyu kreature..
 
Huwa nikisikia ripoti za huyu mwandishi kucheka nashindwa na hata ule umakini wa kusikiliza kwa taarifa unakuwa kama haupo kwani anaongeeeeeeeea mpaka ladha ya kusikiliza inapotea..
Hii ni kwangu lakini sijui wengine...

Acha wivu wewe, Masau Bwire namfananisha na Ben Kiko
 
jamani mwenye picha ya masau bwire tunaomba
 
Sikiliza morning star redio (the voice of hope) mia moja na tano nukta tatu kila asubuhi utampata. Ni mtangazaji mzuri sana kuliko maelezo ya huyo mpu.mbavu hapo juu. Nampenda sana masau bwire na sauti yake ya kuvutia ka ben kiko alivyokuwa akiripoti toka Tabora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…