hana lolote kazeekaMase anaweza sana gemu tatizo ni didy hata mbele fitna zipo.
Jamaa wa kitambo sana alikua bad boys chini Sean Comb Pdidy sijajua ilitokea nini hadi akawa pasta ila nakumbuka kuna kipindi alisema i regretes to be a pastor instead of doing music. Jamaa anajua muziki you are most welcome again to the game.
tuwekeen picha ake
Welcome back Mase......