Mase arudi tena kwenye game ya hip hop

Siyo mahaba mkuu, Mungu wangu ananiona. Una copy kwa mase halafu unatengeneza ya kwako
 
"Ooh you know we need ya, ooh you know we need ya welcome back"

Hahahahaha ........."See the names have all changed since I've been around But the game ain't the same since I left out Ooh, you know we need ya, ooh, you know we need ya Right here's where we need ya, right here's where we need ya"
 
Nakumbuka niliwahi ku-burn MP3 yangu ya kwanza nilikuwa na wimbo mmoja wa mase.

Welcome back
 
Huyu jamaa si alimrudia mungu?
Au ameanguka tena?
 
Jamaa wa kitambo sana alikua bad boys chini Sean Comb Pdidy sijajua ilitokea nini hadi akawa pasta ila nakumbuka kuna kipindi alisema i regretes to be a pastor instead of doing music. Jamaa anajua muziki you are most welcome again to the game.
sijui walipatwa na nini,Mase mchungaji Loony Alhaji!
 
Acha kuchekesha jukwaa,unasema umefatilia Hiphop kitambo halafu humjui Mase?Ungekuwa karibu ningekunasa kibao

Labda alimaanisha HIP HOP ya kibongo usimlaumu mkuu.
 
Kweli watu mnanichekesha, tafuteni Wikipedia kuhusu mase
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…