😀😀😀😀😀 michakato lazima itimie, nipo dms mala moja siku ya kesho usiku narudi moroNkitoka huko usiku narud namajani
Camp..
Ova
Huo ndiyo ugali wanakula masela zaidi ya wawili kila siku?Watakuwa wamekonda sana.Nikiwa bado niko huku Ruangwa, masela wangu wametoa kitu safi. Mambo haya kama wewe ni brazamen huyawezi!
Wengine sisi tunaishi kokote.
MamaSamia2025
Bushmamy
Ova
View attachment 2371636View attachment 2371637
Mie mwamba kweli kweli, nimekula ugali na maji na chumviNational Anthem na Depal watauliza "Hivyo vifaa vya ujenzi?"
Mlipata wapi maji na chumvi? Si tunapiga Dona hafu mboga sembe.Mie mwamba kweli kweli, nimekula ugali na maji na chumvi
Ukikosa vyote, piga Smart ginHaha
Tuko kwenye kuseti mambo
Hapa sasa nataka shushia na nyagi nkikosa nyag double kik inanihusu
Ova
Umeweza kweli kula mkurugenzi! Maana nyinyi wazee wa Dar mmeshazoea kiyepe yai, juisi ya miwa! Mambo safi kabisa.Nikiwa bado niko huku Ruangwa, masela wangu wametoa kitu safi. Mambo haya kama wewe ni brazamen huyawezi!
Wengine sisi tunaishi kokote.
MamaSamia2025
Bushmamy
Ova
View attachment 2371636View attachment 2371637
🤣🤣🤣🤣Chakula kama hiki ukimlisha mwanaume wa Dar anatapika. Wenyewe wamezoea kiyepe yai, juisi ya miwa! Mambo safi kabisa.
Mimi ugali na kula na mboga hiyo au chama choma. Hapo ntakula mpaka basiYah!bonge la msosi
Dagaa hapo 2000,mazaga nyanya tunguu 400 msosi mnapiga mtu 3
Fureshh
Ova
Acha zako we 🤣🤣Mlipata wapi maji na chumvi? Si tunapiga Dona hafu mboga sembe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]