Maselebu wa Bongo na familia zao

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Hii itakuwa thread maalumu ya maselebu wa Bongo na familia zao. Kwa kuanzia naanza na wake wa mastaa wa kabumbu hapa Bongo, KARIBUNI.


Kiungo wa mtibwa sugar Abduharim Amour na familia yake


Wamkumbuka chifu Rumanyika? Hapa akiwa na mkewe


Kutoka kushoto ni mke wa kiungo wa Yanga Athumani Iddi "Chuji" na mke wa mshambualiaji wa zamani wa Simba Athumani Machupa anayecheza soka la kulipwa Sweden.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…