Masha akimbilia Takukuru

Halisi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2007
Posts
2,802
Reaction score
614
Masha akimbilia Takukuru

Mwandishi Wa RaiaMwema Julai29,2009
Ni sakata la vitambulisho



Masha akimbilia Takukuru
 
Last edited:
naona mwandishi wa taarifa hii ana bias, na kutaka kugonganisha watu, kitu kilichopelekwa takukuru sio uamuzi wa baraza la mawaziri , bali ni mchachato wa kumtafuta atakaye pewa hiyo tenda.
Sasa huu ukajanja huu kwa kweli utatupeleka kubaya.
 
Kuna kitu kimepinda:

Kama Masha hatakiwi kuingilia mradi, kwanini yeye ndio anabanwa na kuulizwa mradi umefikia wapi?
 
Haiingii akilini kuwa kunawalipa kodi 500000 tu Tanzania
 
Haiingii akilini kuwa kunawalipa kodi 500000 tu Tanzania

So inaingia wapi kama sio akilini???? Kodi zenyewe ndio anachukua Kingunge Ngombale Mwiru Ubungo terminal!! It looks like negros are skipping tax because it aint doin' nothin' for their lives!
 
Nchi yangu ina mizengwe ? Nini maana ya tukio hili?Kuwasafisha takukuru ama kuna move gani hapa ? Fungueni macho na akili maana any move done by CCM ina manufa kwa ukoo wao .Msilale hadi kieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…