Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 100
Waziri aliyepita, Masha, amesema kuwa hakung'oa kitasa kama magazeti yanavyoandika.
Source ni yeye mwenyewe kupitia FB page yake
QUOTE: "usiwe haraka sana kumhukumu mtu! Ukimya wa mtu hauna maana kwamba hauna la kusema! Sijawahi kungoa kitasa popote pale! Uzalendo wangu historia itakuja kunihukumu!"
Source ni yeye mwenyewe kupitia FB page yake
QUOTE: "usiwe haraka sana kumhukumu mtu! Ukimya wa mtu hauna maana kwamba hauna la kusema! Sijawahi kungoa kitasa popote pale! Uzalendo wangu historia itakuja kunihukumu!"