Masha Lawrence yu wapi wadau?

Mara ya mwisho jamaa aing'oa kitasa na kuchukua sofa zake pale ofisi ya Nyamagana pamoja na picha zake. Cheo ni dhaman jamani.
 
Jamani napenda kujua huyu mwanasi-hasa aliyefulia hivi sasa yuko wapi na anafanya nini?

Lau anafanya biashara ya kuwawekea vigogo wa CCM tatoo..... njoo dodoma uzunguni utamkuta na wakina RA wanakula miraa kwenye nini fulani na vimwana. huku UVCCM hatumtaki, kwa maana alishalewa na madaraka aliyopewa na RA... alafu tena ni dalali wa vimwana wenye hadhi pale kempinski
 
Yupo Imma advocate na wamempa VX new model kama ya mawaziri anakula kuku taratibu anajutia siasa
 
Tukishajua, itatuongezea value kweli?
Na je angeendelea kusikika tungekaa kimya?
 
Sina taarifa ya huyu bwana tangia kupigwa chini na wana Rock City. Nasikia kawa mshauri wa JK wa masuala ya sheria
 
kashapotea kwenye ulimwengu wa siasa!
 
THE GUY WAS FULL OF ARROGANCE, POMPOSITY.He erraneous thought that he is the most educated and intelligent person, and that he has an absolute power to teach Tanzanians about civilization.In short, that guy known as Lawrence Masha had no leadership qualities, and he simply became a politician as a result of favouritism.For sure, his political career is falling into oblivion, if not in its moribund.
 
........kabla ya kuingia ktk siasa Lawrence Masha alikuwa Wakili katika kampuni ya IMMMA&Advocates. na kwa sasa baada ya kuanguka ktk siasa amerudia kazi yake ya Uwakili pale IMMMA
 
Politik bwana!! Jamaa ndo mwisho wake huo.

Naye alizidi bwana sijui na utoto ulikuwa unamsumbua? Alifikiri kusoma Marekani ndo kumaliza kila kitu? Kwishney!!
 
,,, siku moja pale Rose Garden akiwa na group yake aliyooita G7,, alitamka hawezi kusumbuliwa na wala samaki (watu wa Mwanza),,wakati huo akiwa minister,,,,
hakika anakula matapishi yake sasa,,
 
guYS,

I THINK WE ARE TOTALLY LOST HERE

ANAEZA AKAWA AMEANGUKA KISIASA BUT HIS LIFE IS DOING WELL KWANI AMEREJEA KWENYE FANI YA SHERIA, NDIO MAANA SIKU ZOTE NI VYEMA TUWE NA ELIMU NA FALL-BACK POSITIONS

NAJARIBU KUFIKIRIA ANNE MAKINDA AU SOPHIA SIMBA WAKLIANGUKA WATAKUA NANI

IMMMA ADVOCATE WANAENDELEA VIZURI TU NA PESA YA KULA IPO
 
Masha alikuwa anasumbuliwa na ulimbukeni. Tangu vyama vingi vilipoanzishwa hakuna mbunge aliyewahi kukaa vipindi viwili mfululizo katika jimbo la nyamagana (zamani mwanza mjini). Alianza shomari (1995-2000) akaja steven kazi (2000-2005), masha (2005-2010), wenje (2010-2015) hivyo wenje inabidi achape kazi kisawasawa yasije yakamkuta yaliyowakuta wenzake.
 
Mkuu also to add on top of that financially jamaa yuko well off kwa muda ambao alikuwa serikali kuna mtu ameniambia Masha ame-benefit na kutengeneza hela ya kutosha kwenye mradi wa National ID'S pia ule mradi wa LESENI MPYA ZA MADEREVA pia ana ranch kubwa sana kule Kibaha.

Pia IMMA advocates ni lawyers wa VODACOM na kwenye baadhi ya projects za AIRTEL
 
Masha alikuwa anasumbuliwa na ulimbukeni. Tangu vyama vingi vilipoanzishwa hakuna mbunge aliyewahi kukaa vipindi viwili mfululizo katika jimbo la nyamagana (zamani mwanza mjini). Alianza shomari (1995-2000) akaja steven kazi (2000-2005), masha (2005-2010), wenje (2010-2015) hivyo wenje inabidi achape kazi kisawasawa yasije yakamkuta yaliyowakuta wenzake.
 
Ni waziri aliyevuta hisia za wakimbizi nyarugusu wakati wa uchaguzi 2010 baada ya kuwasalimia katika ziara yake akaomba wamuombee ashinde ubunge.
 
NILIKUTANA NAE tanganyika library alikuwa anasoma kitabu kimoja cha JACOB ZUMA kinaitwa BOUNCING BACK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…