Sasa wewe mama mbona upendo zero? huku chini umeweka eti pendaneni kama vile nilivyowapenda. Huyu ni kiongozi mstaafu bado ni kioo cha Taifa kama anafanya vyema ni heshima kwa Taifa pia.So what!!??
Kwani zama hizo akiwa tensi alkua kalazimishwa!!??
Halafu......Kakutuma uje utuambie???
Wacha kutangaza mambo ya uongo ww, ngumi gani kapigwa?? Wananzengo mbona mnakuwa hivyo lakini?Lengo lako kuleta hii ni nini?!!
Unamfanyia kampeni au!!! Ile ngumi aliyotwanga na yule mwanahabari amepona na kuweka meno ya spare! Haya hutaki tujue eti
Hilo yawezekana kweli, japo he looks happy and very relaxed. And ofcourse the dude has got some Mulato be honest
he is missing power
Sasa wewe mama mbona upendo zero? huku chini umeweka eti pendaneni kama vile nilivyowapenda. Huyu ni kiongozi mstaafu bado ni kioo cha Taifa kama anafanya vyema ni heshima kwa Taifa pia.
Hahahahaha lol! eti Kiongozi mstaafu!!!! alitangaza lini kwamba anastaafu uongozi?
Mods BAN huyu mtu analeta matusi ambayo si desturiMbunye au kokwa kutegemea na jinsia yake!
Nadhani he is happy than ever before in his life. Anaishi vizuri, majumba, magari na uhuru wa kutosha. Ukimwona sasa mara nyingi ana smile tofauti na zamani alikuwa tense sababu ya stress za kazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Najua wengi wana chuki binafsi naye but this one dude is doing good, believe that. Way to go Masha............................
Au na wewe nyumba ndogo nyingine nini?? mbona uko bitter sana??it sounds as if you are in love with him,or my be you are his nyumba ndogo,acha kusifia mali ya mtu,huo mvuto anao kwako sio sisi.to hell with you and ya masha.you spoiled my day.trush.
Nadhani he is happy than ever before in his life. Anaishi vizuri, majumba, magari na uhuru wa kutosha. Ukimwona sasa mara nyingi ana smile tofauti na zamani alikuwa tense sababu ya stress za kazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Najua wengi wana chuki binafsi naye but this one dude is doing good, believe that. Way to go Masha............................
Wapeni uhuru watu wote kwani wewe umelazimishwa kumjibu?kazana kujaza upupu hapa .Hivi mods siku hizi hamfanyi kazi ya kuwapumzisha wapuuzi wa jamvini ? Maana wanatuondoa kwenye hoja kila mara na wana jaza server hawa.
Mchungaji bana!!! linapokuja suala la makalio unakuwa mstari wa mbele sana!
Makalio bila shaka!
bwahaaaaaaaaaaaaaa😛ound:Najaribu ku image anapokuwa pale mbele anaongoza ibada anapotoa mimacho akina mama wanapokuwa wanaingia au kwenda mbele kutoa sadaka!!!!!
Hiyo ni personal vendetta Mr. K. Can you prove your allegations towards the dude? Grow up!!Masha wewe ni aibu kwa vijana. Pamoja na kukaa Marekani umeenda bongo badala ya kuleta mabadiliko umekuwa fisadi na mtu wa kushinda baa kutafuta wamawake!!!. Kuna wanawake wangapi US bro!. Umetia aiubu sana na kuzuia nafasi za vijana wengi sana ambao wewe ungeweza kuwa Mlango wa Generation mpya. Umekuwa mtu wa ego tu bila kuonyesha chochote, wewe umebomoa badala ya kujenga kwa utoto wako. Vijana wengi wasomi wanaotokea Marekani hawapo kama wewe!!. You need to go to hell bro!