Umetaja beer baridi umenifanya nami nichukie maana pale Grocery ya mama Kijogoo siwezi kuzikuta maana hana generator na mabia yooote ya moto. ahhh!Hili giza linanifanya niwe na hasira sana! Kumbuka hata beer baridi tunaweka kwenye ndoo za maji
Mkuu una maana gani Masha Nelson Mandela wa Tanzania?watanzania wote wakiwa na kichwa kama chako
then masha ni nelson mandela wa tz lol
huyu jamaa hahitaji ukuu wa mkoa wala wizara.... he is better than ever mazeeNyepesi nyepesi zinasema amepangiwa ukuu wa mkoa Dar. nasikia wanatangazwa anytime
Haya ndiyo yanasababisha viongozi wanakuwa mafisadi.Yani kuwa anaishi vizuri na kuwa na majumba na magari ndo sifa ya kuwa "njema" baada ya kulwa kiongozi wa kitaifa,then mnatagemea wanaoingia madarakani wawe na mawazo gani?Jamii yetu kweli kwishne.Sasa nani alisema kazi ya uongozi Tanzania inahitaji smiles all the time?Kuongoza Tanzania ni kazi ngumu na ya kujitolea inayohitaki sacrifices.Tena naamini malipo mazuri yanabadili nia ya kuwa kiongozi kwenye nchi masikini kama yetu!Kuachia madaraka na kuwa na mali ndo the way to go?Nadhani he is happy than ever before in his life. Anaishi vizuri, majumba, magari na uhuru wa kutosha. Ukimwona sasa mara nyingi ana smile tofauti na zamani alikuwa tense sababu ya stress za kazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Najua wengi wana chuki binafsi naye but this one dude is doing good, believe that. Way to go Masha............................
Pesa bila Madaraka hakuna raha Bongo, Trust me Ninamjua Lau moyoni Mnyonge kweli anajua ameblow his chances, sasa hivi Ubunge Nyamagana sasa hivi kuna CCM 12 wanautaka 2015 na ni vijana na ni wasomi pia na wamekulia pale Mwanza Mjini na Wanapesa toka enzi za Nyarugusu... before foreign companies starting mining GOLD in Geita.huyu jamaa hahitaji ukuu wa mkoa wala wizara.... he is better than ever mazee
kama unamjua usingesema haya, he has placed himself in a lifetime fortune
Thanks for the truth.Masha wewe ni aibu kwa vijana. Pamoja na kukaa Marekani umeenda bongo badala ya kuleta mabadiliko umekuwa fisadi na mtu wa kushinda baa kutafuta wamawake!!!. Kuna wanawake wangapi US bro!. Umetia aiubu sana na kuzuia nafasi za vijana wengi sana ambao wewe ungeweza kuwa Mlango wa Generation mpya. Umekuwa mtu wa ego tu bila kuonyesha chochote, wewe umebomoa badala ya kujenga kwa utoto wako. Vijana wengi wasomi wanaotokea Marekani hawapo kama wewe!!. You need to go to hell bro!
mkuu hapo umekoseaPesa bila Madaraka hakuna raha Bongo, Trust me Ninamjua Lau moyoni Mnyonge kweli anajua ameblow his chances, sasa hivi Ubunge Nyamagana sasa hivi kuna CCM 12 wanautaka 2015 na ni vijana na ni wasomi pia na wamekulia pale Mwanza Mjini na Wanapesa toka enzi za Nyarugusu... before foreign companies starting mining GOLD in Geita.
Masha wewe ni aibu kwa vijana. Pamoja na kukaa Marekani umeenda bongo badala ya kuleta mabadiliko umekuwa fisadi na mtu wa kushinda baa kutafuta wamawake!!!. Kuna wanawake wangapi US bro!. Umetia aiubu sana na kuzuia nafasi za vijana wengi sana ambao wewe ungeweza kuwa Mlango wa Generation mpya. Umekuwa mtu wa ego tu bila kuonyesha chochote, wewe umebomoa badala ya kujenga kwa utoto wako. Vijana wengi wasomi wanaotokea Marekani hawapo kama wewe!!. You need to go to hell bro!
Vitambulisho kwani alishinda yeye hiyo zabuni?mi nalia na vitambulisho vya taifa.hela aliziweka wapi?
hahaha dume la mende umenifurahsha sana huyo ndo bwana mchungajiMchungaji bana!!! linapokuja suala la makalio unakuwa mstari wa mbele sana!
Anagonga mihuri avidafat na kulewa rose garden!kwani anajishughulisha na nini?
Masha ni mpenda sifa , mchonganishi na anajua kujipendekeza kuliko kufanya kazi, kwa wasiomfahamu watamsifia nitashangaa kama atapewa nafasi yeyote waulize TOL GASES LTD mpaka leo haijasimama 'DEDE'............