Nadhani he is happy than ever before in his life. Anaishi vizuri, majumba, magari na uhuru wa kutosha. Ukimwona sasa mara nyingi ana smile tofauti na zamani alikuwa tense sababu ya stress za kazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Najua wengi wana chuki binafsi naye but this one dude is doing good, believe that. Way to go Masha............................
Anko acha kukopesha watu bana! Mpe mtu live afu muheshimiane baadae! ...lol!Bahati yako humu matusi hayaruhusiwi....La sivyo hasira zangu zote zingeishia kwako. Au nawe ni mmoja kati ya wanawake wengi wa Masha wa pale Nyegezi?
Kama hajakupitia basi amekuchezea sehemu nyeti,siyo burehe!! yamekuwa hayo? tusiseme ukweli?? Masha ni mwanasiasa anayependwa ila ni ajali ya kisiasa tu ilimkuta. Bado ana mvuto kwenye jamii na anaweza kuwa Rais mwenye mashiko sana kwa nchi hii
Ulipokuwa unaandika hii thread alikuwa anakushika sehemu gani ya mwili?
huyu Masha ni msukuma au Mzinza??hizi tabia zinawadhalilisha ndugu zetu wasukuma,huyu jamaa ni takataka hafai hata chembe
No he sound like he is the one
Bora umesema wewe. Kuna watu wana wivu na Masha utafikiri kawachukulia wake zao. Masha is a great politician take or leave it
<br />Nadhani he is happy than ever before in his life. Anaishi vizuri, majumba, magari na uhuru wa kutosha. Ukimwona sasa mara nyingi ana smile tofauti na zamani alikuwa tense sababu ya stress za kazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Najua wengi wana chuki binafsi naye but this one dude is doing good, believe that. Way to go Masha............................
he!! yamekuwa hayo? tusiseme ukweli?? Masha ni mwanasiasa anayependwa ila ni ajali ya kisiasa tu ilimkuta. Bado ana mvuto kwenye jamii na anaweza kuwa Rais mwenye mashiko sana kwa nchi hii
he!! yamekuwa hayo? tusiseme ukweli?? Masha ni mwanasiasa anayependwa ila ni ajali ya kisiasa tu ilimkuta. Bado ana mvuto kwenye jamii na anaweza kuwa Rais mwenye mashiko sana kwa nchi hii
ah wapi Masha aliutaka ubunge kwa udi na uvumbe bado ana u MISS sana Uheshimiwa ,uwaziri na lule mjengo mtukufu pale Idodomya,Masha alishaanza kuonja urojo wa madaraka halafu wewe unasema yuko happy mi kwa hilo sikubaliani ni sawa na kusema Masha baada ya kuzikosa mbivu sasa anasema alikuwa hazitaki,mh ''Sizitaki mbivu hizi''baada ya kuzikosaNadhani he is happy than ever before in his life. Anaishi vizuri, majumba, magari na uhuru wa kutosha. Ukimwona sasa mara nyingi ana smile tofauti na zamani alikuwa tense sababu ya stress za kazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Najua wengi wana chuki binafsi naye but this one dude is doing good, believe that. Way to go Masha............................
so what!!Nadhani he is happy than ever before in his life. Anaishi vizuri, majumba, magari na uhuru wa kutosha. Ukimwona sasa mara nyingi ana smile tofauti na zamani alikuwa tense sababu ya stress za kazi. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Najua wengi wana chuki binafsi naye but this one dude is doing good, believe that. Way to go Masha............................