Mashabiki au wadau wa simba ni lialia tu

Mashabiki au wadau wa simba ni lialia tu

baba aura

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
254
Reaction score
393
Habari Wakuu ,kweli madhabiki wa simba ni watu wa hovyo tu kwa sababu

Siku simba ikofungwa basi wanaanza lawama either kwa viongozi or wachezaji

Siku timu ikishinda basi wanasahau matatizo yao ya timu

Kwa machache hapo nadhani yametosha ,sitaki matusi yenu Bali pinga kwa hoja
 
Habari Wakuu ,kweli madhabiki wa simba ni lialia tu kwa sababu. Siku simba ikofungwa basi wanaanza lawama either kwa viongozi or wachezaji. Siku timu ikishinda basi wanasahau matatizo yao ya timu.
Inaelekea hauelewi maana ya maneno 'shabiki lialia'
 
Back
Top Bottom