baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 254
- 393
Habari Wakuu ,kweli madhabiki wa simba ni watu wa hovyo tu kwa sababu
Siku simba ikofungwa basi wanaanza lawama either kwa viongozi or wachezaji
Siku timu ikishinda basi wanasahau matatizo yao ya timu
Kwa machache hapo nadhani yametosha ,sitaki matusi yenu Bali pinga kwa hoja
Siku simba ikofungwa basi wanaanza lawama either kwa viongozi or wachezaji
Siku timu ikishinda basi wanasahau matatizo yao ya timu
Kwa machache hapo nadhani yametosha ,sitaki matusi yenu Bali pinga kwa hoja