Mashabiki wa Al Ahly tujuane mapema

Mashabiki wa Al Ahly tujuane mapema

Carasco Putin

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2022
Posts
10,644
Reaction score
32,375
Habib habib shabiki damu kindakandaki wa timu pendwa timu namba 1 kwa ubora Afrika Al ahly baada ya kucheza Africa football league na timu bora ya simba michuano ambayo imekutanisha giants wa Africa na simba ndyo timu pekee Africa mashariki kushiriki. Kwa mujibu wa CAF derby bora afrika ni al Ahly vs Simba. Na YANGA vs zalan FC.

Lengo letu al ahly ni kufumua timu zote zilizo kwenye kundi letu hasa wale nzi wa kijani kwa ushindi mnono

Kila la kheri timu yangu pendwa toka utotoni AL AHLY [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1630][emoji1630][emoji1630][emoji1630]

IMG_1822.jpg

Habib habib

IMG_1821.jpg

Mchawi karaba hat trick kwa mkapa lazima
IMG_1823.jpg

Usiyempenda kaja anakaba mpka kivuri anamuogopa kanoute tu afrika hii
 
Habib habib shabiki damu kindakandaki wa timu pendwa timu namba 1 kwa ubora Afrika Al ahly baada ya kucheza Africa football league na timu bora ya simba michuano ambayo imekutanisha giants wa Africa na simba ndyo timu pekee Africa mashariki kushiriki
Kwa mujibu wa caf derby bora afrika ni al ahly vs simba
Na YANGA vs zalan fc

Lengo letu al ahly ni kufumua timu zote zilizo kwenye kundi letu hasa wale nzi wa kijani kwa ushindi mnono



kila la kheri timu yangu pendwa toka utotoni AL AHLY [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1630][emoji1630][emoji1630][emoji1630]View attachment 2792061
Habib habib View attachment 2792062
Mchawi karaba hat trick kwa mkapa lazima View attachment 2792063
Usiyempenda kaja anakaba mpka kivuri anamuogopa kanoute tu afrika hii
Aaahaaaaa

Tumemtuma Hersi kwa Madiba aende akaonane na uongozi wa Mamelodi Sundowns ili ajifunze jinsi kumfunga huyo mwarabu koko nje ndani

Screenshot_20231024-195512_Chrome.jpg
Screenshot_20231025-094909_Chrome.jpg
20231025_090204.jpg
 
Habib habib shabiki damu kindakandaki wa timu pendwa timu namba 1 kwa ubora Afrika Al ahly baada ya kucheza Africa football league na timu bora ya simba michuano ambayo imekutanisha giants wa Africa na simba ndyo timu pekee Africa mashariki kushiriki
Kwa mujibu wa caf derby bora afrika ni al ahly vs simba
Na YANGA vs zalan fc

Lengo letu al ahly ni kufumua timu zote zilizo kwenye kundi letu hasa wale nzi wa kijani kwa ushindi mnono



kila la kheri timu yangu pendwa toka utotoni AL AHLY [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1630][emoji1630][emoji1630][emoji1630]View attachment 2792061
Habib habib View attachment 2792062
Mchawi karaba hat trick kwa mkapa lazima View attachment 2792063
Usiyempenda kaja anakaba mpka kivuri anamuogopa kanoute tu afrika hii
1. Hamkujuana jana, wakati mmeshika roho mkononi kwa kipindi chote cha kwanza?

2. Hamkujuana jana na possession ya 73% kwa 27% mje mtafutane leo?

NATAHADHARISHA MAPEMAAA KWAMBA MSIJE SEMA TUMEPANGIWA VIBONDE...!!!!

Waambie kabisa na wenzio akina Mshana Jr, Kalpana, GENTAMYCINE et el. Maana hamchelewi kugeuza kauli.

NB:
MMEANZIA ROBO NA MMEISHIA HAPO HAPO KWENYE ROBO KAMA KAWAIDA YENU MWAKAROBO FC
 
Kumbuka una uzi maalumu wa Mashabiki wa El Marekh na umeutelekeza hauna hamu hata wa kuona ,ngoja ninywe chai niufufue kutoka maktaba..
Mwamba, kumchambua vizuri huyu Carasco Putin weka link ya huo uzi wake hapa, tumuone anavyohamahama kahaba wa timu za soka huyu..!!
 
1. Hamkujuana jana, wakati mmeshika roho mkononi kwa kipindi chote cha kwanza?

2. Hamkujuana jana na possession ya 73% kwa 23% mje mtafutane leo?

NATAHADHARISHA MAPEMAAA KWAMBA MSIJE SEMA TUMEPANGIWA VIBONDE...!!!!

Waambie kabisa na wenzio akina Mshana Jr, Kalpana, GENTAMYCINE et el. Maana hamchelewi kugeuza kauli.

NB:
MMEANZIA ROBO NA MMEISHIA HAPO HAPO KWENYE ROBO. Mwakarobo FC
Aaahahhaa

Wajifunze kwa wanaojua
Screenshot_20231025-094909_Chrome.jpg
 
Walishatokea mashabiki wa Rivers, Marumo Gallants, Monastir, Club Africaine mpaka wa USM Alger. Waulize hao waliambulia nini?
 
Back
Top Bottom