Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Habib habib shabiki damu kindakandaki wa timu pendwa timu namba 1 kwa ubora Afrika Al ahly baada ya kucheza Africa football league na timu bora ya simba michuano ambayo imekutanisha giants wa Africa na simba ndyo timu pekee Africa mashariki kushiriki. Kwa mujibu wa CAF derby bora afrika ni al Ahly vs Simba. Na YANGA vs zalan FC.
Lengo letu al ahly ni kufumua timu zote zilizo kwenye kundi letu hasa wale nzi wa kijani kwa ushindi mnono
Kila la kheri timu yangu pendwa toka utotoni AL AHLY [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1630][emoji1630][emoji1630][emoji1630]
Habib habib
Mchawi karaba hat trick kwa mkapa lazima
Usiyempenda kaja anakaba mpka kivuri anamuogopa kanoute tu afrika hii
Lengo letu al ahly ni kufumua timu zote zilizo kwenye kundi letu hasa wale nzi wa kijani kwa ushindi mnono
Kila la kheri timu yangu pendwa toka utotoni AL AHLY [emoji91][emoji91][emoji91][emoji1630][emoji1630][emoji1630][emoji1630]
Habib habib
Mchawi karaba hat trick kwa mkapa lazima
Usiyempenda kaja anakaba mpka kivuri anamuogopa kanoute tu afrika hii