Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni baada ya kuingia uwanjani ili kuwatandika bakora wachezaji na makocha wa timu yao , baada ya kutolewa kwenye nusu fainali ya NEDBANK CUP baada ya kuchapwa na timu ya Free State leo hii
Tayari kocha wao Steve Komphela amejiuzulu nafasi yake .
Hili linatakiwa liwe fundisho kwa Timu ya Azam na mashabiki wake , haiwezekani timu kama Azam inayolipa wachezaji wake vizuri na imewapa kila kinachohitajika kwenye soka la kisasa kufungwa na Mbao au Stendi timu ambazo wachezaji wake hawajui hata watakapopata hela ya chai
Tayari kocha wao Steve Komphela amejiuzulu nafasi yake .
Hili linatakiwa liwe fundisho kwa Timu ya Azam na mashabiki wake , haiwezekani timu kama Azam inayolipa wachezaji wake vizuri na imewapa kila kinachohitajika kwenye soka la kisasa kufungwa na Mbao au Stendi timu ambazo wachezaji wake hawajui hata watakapopata hela ya chai