Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hoja yako ni dhaifu sana .Nani kakwambia uwekezaji mkubwa ndio sababu ya kuchukua makombe, Leicester city alibeba ndoo mbele ya Manchester United,City,Chelsea,Liverpool na Arsenal team zenye mabilioni ya uwekezaji
Foolish reply from Craziest Human BeingHoja yako ni dhaifu sana .
Mpira ni zaidi ya uwekezaji.Hii ni baada ya kuingia uwanjani ili kuwatandika bakora wachezaji na makocha wa timu yao , baada ya kutolewa kwenye nusu fainali ya NEDBANK CUP baada ya kuchapwa na timu ya Free State leo hii
Tayari kocha wao Steve Komphela amejiuzulu nafasi yake .
Hili linatakiwa liwe fundisho kwa Timu ya Azam na mashabiki wake , haiwezekani timu kama Azam inayolipa wachezaji wake vizuri na imewapa kila kinachohitajika kwenye soka la kisasa kufungwa na Mbao au Stendi timu ambazo wachezaji wake hawajui hata watakapopata hela ya chai
Kuna mchezaji kapigwa hapo na lidude sijui chuma ileNime angalia hyo video nimecheka sana
Wachezaji wa Azam wanamuibia BakhressaSasa kama ni hivyo si wangekuwa wanawapa kombe hao Azam kabla ligi haijaanza???