Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
Mashabiki wengi wa kuazima wa Mamelodi wamelala usingizi wa mang'amung'amu hiyo Jana
Hawakutegemea walichokiona,hawaamini macho Yao
Waliloliwaza wiki nzima halijawa
Wameishia kutoa mapovu ya sabuni ya mche ya komoa
Wameanza kuwaita Masandawana ni matapeli
🤣🤣🤣🤣🤣
Hawakutegemea walichokiona,hawaamini macho Yao
Waliloliwaza wiki nzima halijawa
Wameishia kutoa mapovu ya sabuni ya mche ya komoa
Wameanza kuwaita Masandawana ni matapeli
🤣🤣🤣🤣🤣