Mbona alihamia USM Alger msimu uliopita ikiwa chini ya General Benchikha na haikumuangusha hata kidogoAsante kuweka saini yako na hapa, msimu uliopita kwenye kombe la shirikisho ulihamia kwa kila mpinzani wa Yanga na ukawa unaumbuka pengine unaweza kuwa unafanana na mwasibu wetu wa JF. Ngoja tuone, pengine safari hii
Alishashabikia ad zalanNakumbuka Ulikuwahi kuwa shabiki wa malumo gallants
Dogo huyu ni Simba lia lia anafanya vurugu tu kuchangamsha watu. πππKiintelijensia wewe ni shabiki wa Yanga
Alikuwa wa kila timu Yanga aliyekutana nayo. Yanga ilipofika final akakosa cha kusema na alihamia premier league, naona kaanza mdomo tena.Nakumbuka Ulikuwahi kuwa shabiki wa malumo gallants
Kweli, Maana hakuna Shabiki wa Simba anayeshabikia Wageni. Hao hao Watopolo ndio akili zao kwahiyo waendelee tu.Kiintelijensia wewe ni shabiki wa Yanga
MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui
Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka.
MASANDAWENA BA ZULULAND.
BALE BANA BANTA
Mi shabiki wa simba ukweli ni kwamba siwezi tu kuhamia Yanga kwasababu ushabiki sio nguo.... ila kwa yanga hii weka akiba sio simba kupata kuna munguMASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui
Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka.
MASANDAWENA BA ZULULAND.
BALE BANA BANTA
Kule Kwa madiba wanaiogopa simba kwa kuchoma viwanja.MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui
Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka.
MASANDAWENA BA ZULULAND.
BALE BANA BANTA
Amina amina! All the bests kwa watani wa jadi wa Tanzania
Class mate kwenye ubora wako.MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui
Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka.
MASANDAWENA BA ZULULAND.
BALE BANA BANTA
KUVUUUUUUUKIIII land ..MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui
Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka.
MASANDAWENA BA ZULULAND.
BALE BANA BANTA
"Aweeeeena weeee"Tuweke akiba ya maneno βοΈ
"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain πΉπ³ utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"
Full β πΉπ³ Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________
"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"
Full β Yanga 3 - 1 Mazembe π¨π©
Full β π¨π© Mazembe 0 - 1 Yanga
Full β Yanga 2 - 0 US Monastir πΉπ³
1. Young Africans πΉπΏ βοΈ
2. US Monastir πΉπ³ βοΈ
3. Stade Malien π²π±
4. TP Mazembe π¨π©
ποΈ Final (CAF-CC).
_________________________________
"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad π©πΏ bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria π©πΏ, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"
"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"
Group stage final ;
1. πͺπ¬ Al-Ahly Cairo βοΈ
2. πΉπΏ Young Africans SC βοΈ
3. π©πΏ CR Belouizdad
4. π¬π Medeama
_______________________________
"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"
Full β Yanga 4 - 0 CR Belouizdad π©πΏ
____________________________
"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns πΏπ¦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"
Full β Yanga ? - ? Mamelodi πΏπ¦ ...
Naunga mkono hojaAsante kuweka saini yako na hapa, msimu uliopita kwenye kombe la shirikisho ulihamia kwa kila mpinzani wa Yanga na ukawa unaumbuka pengine unaweza kuwa unafanana na mwasibu wetu wa JF. Ngoja tuone, pengine safari hii
Bale bana bantaa"Aweeeeena weeee"
Kunjaniiii
Abazantu bha ozani
Masandawanaaaaaaaa