incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Karibu mkuuMimi mwenyewe sikuwa na uzi wa mamelodi lakini baada ya tamko la Mh naenda kuununua, ili nikauvae kwa mkapa nione nani wa kunikataza au kuniuliza passport.
IpoPassport mnazo ?
We kapige puli mkuu nayo ni burudani pia.UKISHABIKIA SANAAAAA SIMBA NA YANGA AKILI ZA KICHWANI zINAANZA KUYEYUKA.
Vijana Plz
Msipoteze Muda sana Kwenye mambo Simba na Yanga.
SIMBA NA YANGA NI MTEGO WA KISIASA KWA WATANZANIA.
Si ndo hapo sasa. Watu wa kusini tunaachaje kwenda kufanya uzalendo wa ndug zetuMimi ni mngoni asili yetu ni South Africa naachaje Sasa kuvaa Uzi wa Mamelodi ndugu zangu na kwenda uwanjani kuwasapot?
Huyo kichogo asitutishe bhan!
Wenaakunjani!,,kuvaala wena,,nkng'a.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni mngoni asili yetu ni South Africa naachaje Sasa kuvaa Uzi wa ndugu zangu Mamelodi na kwenda uwanjani kuwasapot?
Huyo kichogo asitutishe bhan!
[emoji38][emoji38][emoji38]Mimi ni mngoni asili yetu ni South Africa naachaje Sasa kuvaa Uzi wa ndugu zangu Mamelodi na kwenda uwanjani kuwasapot?
Huyo kichogo asitutishe bhan!
hahahaWe kapige puli mkuu nayo ni burudani pia.