zimwilachi2
Member
- Aug 26, 2019
- 93
- 92
Alex Furguson alipopewa ukocha wa Man United alisema lengo lake la kwanza ni kuumaliza utawala wa Liverpool kwenye soka la uingereza na kweli mzee alifanikiwa kwa kutumia kila njia za ndani uwanja na nje ya uwanja.
Hatimae Furguson aliondoka Man United hakuondoka peke yake ila aliondoka pia na yale malengo yake ya kuiua Liverpool.
Hatimae Majogoo ya Liverpool yamerudi kwenye ubora wake ikiwa wanakaribia kuchukua vikombe vyote vikubwa kwenye ngazi ya Club, washachukua Champions league, UEFA super cup, Club world cup na premier league ikiwa ipo njiani.
Mwisho napenda kuwaambia mashabiki wa Man United watulie dawa iwaingie sisi tilivumilia na tukasubiri kwa muda mrefu kwanini wenzetu mnashindwa kuwa wavumilivu, kila mechi mnatuombea mabaya tukishinda mnakimbilia kwenye VAR.
Tulieni dawa iingie bana KUTESA KWA ZAMU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimae Furguson aliondoka Man United hakuondoka peke yake ila aliondoka pia na yale malengo yake ya kuiua Liverpool.
Hatimae Majogoo ya Liverpool yamerudi kwenye ubora wake ikiwa wanakaribia kuchukua vikombe vyote vikubwa kwenye ngazi ya Club, washachukua Champions league, UEFA super cup, Club world cup na premier league ikiwa ipo njiani.
Mwisho napenda kuwaambia mashabiki wa Man United watulie dawa iwaingie sisi tilivumilia na tukasubiri kwa muda mrefu kwanini wenzetu mnashindwa kuwa wavumilivu, kila mechi mnatuombea mabaya tukishinda mnakimbilia kwenye VAR.
Tulieni dawa iingie bana KUTESA KWA ZAMU.
Sent using Jamii Forums mobile app