Kiba mzaire
Senior Member
- Apr 25, 2015
- 120
- 105
Anayeongoza Kwa magoli Kwa Bara Zima la Ulaya ni MO SALAH mwenye magoli 41 mpaka Sasa Kwa mashindano yote Ronaldo wako ndio kwanza Ana 32 fuatilia records vizuri ndio uje hapaRonaldo kaifungia madrid mechi 12 mfululizo kwa idadi ya goli 22,ronaldo kaifungia madrid mechi 15 mfululizo za UCL, ronaldo mpk sasa ndie anaongoza kwa magoli kuliko mchezaji yeyote ktk ligi kubwa tano barani ulaya, yani England, Spain, Italy, Germany na France
Nipe record za salah alizomzidi ronaldo
Salah akichukua UEFA ndio anaweza sumbua kwenye hicho kinyang'anyiro. Ila vinginevyo vyovyote Mess na Ronaldo mmoja wapo atachukua.