Mashabiki wa Ronaldo njooni huku

Ni sawa na kidole gumba cha mguu wa Kushoto wa Messi
Sasa mbichwa wa ronaldo una magoli mengi zaidi ya magoli ya atletico madrid ya uefa
Hilo dole gumba haliwezi fit
Msifananishe complete player na makitu ya ajabu
Siku hyo kwahyo mkihitaji magoli ya vichwa ndo ntolee?
 
Weka hiyo rekodi hapa tuione
 
Sasa mbichwa wa ronaldo una magoli mengi zaidi ya magoli ya atletico madrid ya uefa
Hilo dole gumba haliwezi fit
Msifananishe complete player na makitu ya ajabu
Siku hyo kwahyo mkihitaji magoli ya vichwa ndo ntolee?
Kwahiyo mwili wote wa ronaldo unashindana na mguu wa kushito wa messi [emoji2][emoji2][emoji23]
 
Sasa wewe mkuu
Unacheza na ecuador na fiji
Sijui wwakina peru wakina honolulu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kweli usipewe uchezaji bora?
Kwahiyo hiyo Fiji ipo South America?
 
Unaongea kitu ambacho hakina msingi, Ronaldo ameenda Man U amekuta timu bora , ndio timu ya kwanza kumpa mataji,
 
Sasa wewe mkuu
Unacheza na ecuador na fiji
Sijui wwakina peru wakina honolulu😂😂😂
Hivi kweli usipewe uchezaji bora?

Ecuador timu ndogo?
Peru timu ndogo?
Brazil timu ndogo?
Chile timu ndogo?
Uruguay timu ndogo?
Paraguay timu ndogo?
Zote hizo Messi ameshazibonda, na wengine hattrick.
 
Argentina

Argentina and Uruguay have the most championships in the tournament's history, with 15 cups each. Argentina, which hosted the inaugural edition in 1916, has hosted the tournament the most times (nine).

Wanaoongoza kutwaa copa America ni Argentina na Uruguay

Argentina 15
Uruguay 15
Brazil 9
N.k

juma mpemba
 
Hizo club za hizo ligi nyingine hajawahi kukutana nazo?
Kweli mkuu na wewe kbs unapoteza mda wako bishana na mashabik wa cr7 ..ambao wamekosa muelekeo hawajui hata wanasema nn..we waache wabishane wanavoweza
#MCHEZAJ WAO NDO ATAKUA ANAVAA IDADI YA TUZO ZA MESSI MGONGON KWAKE .
 
Halafu anashindwa kuelewa kuwa anaehama timu anakuwa na advantage zaidi kwasababu anaikimbia timu inapofika mahali pabaya. Messi amechezea Barcelona za aina tofauti tofauti na bado ameendelea kuwa bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…