Dar imeathirika na uchawa.Kila mtu chawa.Hata mashabiki wa Simba wa Dar wengi ni machawa wa viongozi wa Simba.
Hawa ndio waliotuchagulia hawa viongozi.
Hawa leo wanalalamika nini eti hakuna aliyewalipia viingilio lakini Simba inafanya vibaya.
Hivi kwa akili zenu wakati mnaingia uwanjani,mlitarajia Bocco afunge?Au Simba ishinde?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hawa ndio waliotuchagulia hawa viongozi.
Hawa leo wanalalamika nini eti hakuna aliyewalipia viingilio lakini Simba inafanya vibaya.
Hivi kwa akili zenu wakati mnaingia uwanjani,mlitarajia Bocco afunge?Au Simba ishinde?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app