[emoji23][emoji23][emoji113]
Ule ni mgao wa washiriki....kwa hiyo waandaaji wakaona MBUMBUMBU wasitoke kapa[emoji16][emoji112] mashabiki wa hovyo tena?
ile tuzo yao ya mashabiki nna mashaka nayo
Ule ni mgao wa washiriki....kwa hiyo waandaaji wakaona MBUMBUMBU wasitoke kapa
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Zingatia mashabiki wa Dar.[emoji16][emoji112] mashabiki wa hovyo tena?
ile tuzo yao ya mashabiki nna mashaka nayo
Mama naye kapiga pale kwenye mshono
Hao sio vibarua kwamba utawatimua kiholela , hapo inatakiwa pesa ya kuvunja mikataba na kusajiri wengine unaongelea almost 6BZingatia mashabiki wa Dar.
Hiyo Mkapa huwa tunaijaza sisi watu wa mikoani.
Hao waliofunguliwa mbwa wakaenda leo wanakuja kwenye mitandao kulalamika eti wachezaji hawajitumi.
Tatizo ni uongozi baadae wanafuata wachezaji.
Hapo waondoke viongozi kwanza,halafu uje uongozi mpya usafishe uchafu.Bakiza wachezaji wasiozidi wanne kikosi cha kwanza wengine wote wape thankyou waende wanakodhani kunafaa kuliko Simba
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app